Activity Ratio
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 554
- 577
Hahahah aikatae wkt anajua akisusa kuja tena kuchukua kashazeekaSasa ule mkwanja wa tuzo Wiz atarudsha? Au ndio yale mambo ya wakuu wa mikoa na mwenge.
BTW hawa jamaa wanaondaa tuzo wamejidhalilisha sana na wamemuumiza sana Wizkid kwenye hili.
Nitafurahi Kiba akiikataa ili kutunza heshima yake pia.
MahabaAisee! Nilihisi hiki kitu toka mwanzo kwamba kuna uwezekano Wizz ameamua kususa na kurudisha hizi tuzo baada ya kuchoshwa na matusi na kusakamwa na watu wa kiba.. Maana ilikuwa ngumu kwangu kuamini MTV wanaweza kufanya kitu unprofessional kiasi hiki kumpokonya mtu tuzo wampe mwingine..
Sasa menejimenti ya kiba wanasikia raha gani kupewa tuzo iliyosuswa?? And wanatengeneza image gani barani Afrika??
Hii ni aibu, sijawahi kushuhudia upuuzi wa kiasi hiki kwenye industry ya mziki Afrika..
nimecheka sanampumbav.u flan ivi analazimisha fani lakini fani haimtaki,anapenda kujifananisha na watu asiofanana nao halafu anasahau kujitofautisha nao!
Seriously??? [emoji15]
Ndio kiba aone balaa aliloanzisha..
Aisee hata kama kiba alistahili ile ni too much! Yale matusi ya fans wake kule kwenye page ya wizkid aisee!
Nafikiri kiba angetumia busara flani kuliko hivyo........
Jeh niyakwel ayoh?MTV Europe music Awards 2016 ilifanyika weekend iliyopita ambapo Mtanzania mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alikuwa akiwania tuzo ya BEST AFRICAN ACT ambayo ilitangazwa siku ya tukio mshindi ni Mnigeria Wizkid.
Pamoja na kwamba Wizkid alitangazwa mshindi, mtandaoni ilikuwa inaonyesha Alikiba ndio anaongoza kwa kupigiwa kura na hapo watu wakaanza kuuliza kwa nguvu imekuaje? hata hivyo kulionekana mabadiliko baadae kwa rekodi hizo kutoonekana mtandaoni baada ya muda kupita.
Taarifa za uhakika kutoka kwenye Management ya Alikiba ni kwamba wametumiwa taarifa na MTV EMA kwamba kuna kosa lilitokea lakini wamerekebisha na kumfikishia taarifa Wizkid kwamba tuzo haikuwa yake hivyo itachukuliwa na kupewa Alikiba.
================
MY TAKE: Am very happy, tena Sana,,tuzo ile aliyopewa wizkid isivyo halali imerudishwa kwa aliyestahili!!! Wekeni akiba ya maneno,, msinitukane,,,
Najua mtakwazika kuwa sijaweka habari kamili au chanzo cha habari!! Soon mtasikia habari hizi njema
Nb. Ingieni kwenye page ya instagram ya wizkid ameshafuta post zote zinazohusu tuzo, mtvmama vilevile!!! Nimeandika nikiwa nna haraka!!!
Haters poleni!!
factMkuu Kiba na menejimenti yake wamefanya kitu cha aibu.. Watu waliopo kwenye industry watakuwa wananielewa!!
Watoaji tuzo sio malaika, hawawezi kufanya maamuzi ya kumridhisha kila mtu! Hivi unafahamu kuwa tuzo ya MTV MAMA kipengele cha Artist of the year mwaka jana hakupaswa kupewa Davido?? Ulimsikia Wizz kasema chochote?? Umejiuliza kwanini mwaka huu Wizz amepewa tuzo mbili za MAMA kitu ambacho hakijawahi kufanyika???
Kuna namna ya kuprotest pale ambapo unahisi haujatendewa haki kwa kunyimwa tuzo, sio hivi ambavyo kiba na timu yake walivyofanya!!
Mkuu naomba uikopi hii post na uihifadhi kwasababu nakuahidi kuwa hautakuja kumuona kiba akitajwa tena kuwania tuzo yoyote ya MTV.. Wamejiharibia sana
Mark my words, wameharibu! Uswahilini tunasema "Wamechinja kuku kwa njaa ya siku moja"
Nikupe mfano mwingine! Unakumbuka tuzo za MTV VMA mwaka 2009 kwenye kipengele cha Video of the year ambapo tuzo alipewa Taylor Swift wakati alistahili kupewa Beyonce video ya single ladies?? Kanye akaenda kuprotest jukwaani... Sasa kanye alikuwa sahihi kabisa but the way ambavyo aliprotest ndio akaharibu kabisa! Unakumbuka mwaka uliofuta MTV walifanya nini??
Kiba na menejimenti yake wameharibu, "wamechinja kuku kwa njaa ya siku moja"
AsanteNaona watu wanapiga kelele tu hadi mtu makini kamaa The bold nae anaandika vitu kwa ushabiki, ile tunzo ilikuwa ni people's choice, ndomana kila aliengoza kwenye kura ndie aliekuwa mshindi katika mabara yote, sasa huku Africa aongoze alikiba alafu apewe Wizkid wala haijakaa poa kabisa, bora ile ya worldwide act ndo majaji wa mtvmama ndio walimchagua wizkid kuwa mshindi
Na kitu cha ajabu ni kwamba mtvema wali indicate kuwa Alikiba ndio mshindi ila mtvmama wakaingilia kati na kumtangaza mshindi wizkid, mbona hili wala halina kosa kwa upande wa Alikiba bali kuna tatizo upande wa waandaji wa tuzo, kwanini ashinde mwingine na apewe mwingine wakati kigezo kilikuwa ni kimoja tu ambacho ni wingi wa kura
Pia huyu wizkid alishawahi kuzitolea kashfa hizi tuzo kuwa wasanii wa kushinda waga wanaandaliwa ila yeye kabeba vipengele vyote ambavyo alikuwa kwenye nomination mtvmama na kama hiyo haitoshi mtvmama wanaenda kumpa tena tuzo ambayo hastahili hapa razima mtu uhoji kunani, endapo kama teamkiba wangeuchuna ndio ingekuwa imetoka
Kosa lipo tu kwa washabiki kwenda kutukana kwenye page ya Wizkid tofauti na hapo me sijaona tatizo na wala hakuna tuzo ambazo hazina figisu duniani kote, tushaona mara kinao wasanii kama chrisbrown, justin Bieber, nick minaj wakizipigia kelele tuzo hadi za grammy alafu uje ushangae kwa kiba kama sio unafki ni nini, wiz kafuta hadi tuzo za mama kwakuwa kajishtukia kuwa ataonekana ata hizo hajashinda kihalali so mtvmama wamemdharirisha wizkid pia wamejidharirisha wao pia
kiba anaweza asiwe na tatizo ila njia aliyotumia kulalamika kuhusu tuzo! na kama ulisikiliza xxl walikuwa kama wanapambisha mashabiki kwenda kulalamika kwenye page ya mtv!Mkuu kwani kiba Amefanyaje?
Mie nasema hizi tim ni za Hovyo sana.Unafikiri kiba anaweza kucontrol tem Kiba??
Si Bora wametukana!Tunzo Ndio mkatukane kama wehu kweli wabongo kwenye mitandao tunatia aibu sana tubadilike ili tuweze kupata network na mataifa Mengine mtu ambaye hajaelimika hujidai kwa matusi na aloyeelimika hujidai kwa hoja,.......
ushabiki wake kwa Diamond,, yaani huyu 'bold'kakomalia hili swala alikiba,, ameshindwa kabisa kuficha chuki aliyonayo kwa alikibaNaona watu wanapiga kelele tu hadi mtu makini kamaa The bold nae anaandika vitu kwa ushabiki, ile tunzo ilikuwa ni people's choice, ndomana kila aliengoza kwenye kura ndie aliekuwa mshindi katika mabara yote, sasa huku Africa aongoze alikiba alafu apewe Wizkid wala haijakaa poa kabisa, bora ile ya worldwide act ndo majaji wa mtvmama ndio walimchagua wizkid kuwa mshindi
Na kitu cha ajabu ni kwamba mtvema wali indicate kuwa Alikiba ndio mshindi ila mtvmama wakaingilia kati na kumtangaza mshindi wizkid, mbona hili wala halina kosa kwa upande wa Alikiba bali kuna tatizo upande wa waandaji wa tuzo, kwanini ashinde mwingine na apewe mwingine wakati kigezo kilikuwa ni kimoja tu ambacho ni wingi wa kura
Pia huyu wizkid alishawahi kuzitolea kashfa hizi tuzo kuwa wasanii wa kushinda waga wanaandaliwa ila yeye kabeba vipengele vyote ambavyo alikuwa kwenye nomination mtvmama na kama hiyo haitoshi mtvmama wanaenda kumpa tena tuzo ambayo hastahili hapa razima mtu uhoji kunani, endapo kama teamkiba wangeuchuna ndio ingekuwa imetoka
Kosa lipo tu kwa washabiki kwenda kutukana kwenye page ya Wizkid tofauti na hapo me sijaona tatizo na wala hakuna tuzo ambazo hazina figisu duniani kote, tushaona mara kinao wasanii kama chrisbrown, justin Bieber, nick minaj wakizipigia kelele tuzo hadi za grammy alafu uje ushangae kwa kiba kama sio unafki ni nini, wiz kafuta hadi tuzo za mama kwakuwa kajishtukia kuwa ataonekana ata hizo hajashinda kihalali so mtvmama wamemdharirisha wizkid pia wamejidharirisha wao pia
Whatever it is!kiba anaweza asiwe na tatizo ila njia aliyotumia kulalamika kuhusu tuzo! na kama ulisikiliza xxl walikuwa kama wanapambisha mashabiki kwenda kulalamika kwenye page ya mtv!
Sasa mashabiki wake wamejikita kwenye page ya wizkid kumtukana!
Nafikiri hii inamharibia image pande ya kule,angelishughulikia hilo swala kimyakimya kwasababu yeye anawaelewa wabongo kwenye mitandao walivyo wehu!
angekuja kuwapostia baadae......sasa kule kunachimbika wabongo Vs waniger