Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

Si ndo hapo sasa et collabo, kwani huyo wiz ndo nan mpaka ashobokewe mfyuu[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mkuu! Ishu sio collabo tu bali kuna suala la kunetwork.. Unatengeneza network na watu wanaojua sehemu husika ili wakusaidie kuoenyeza mziki wako sehemu hiyo
Kwa mfano mwanzoni mondi alishirikiana vyema sana na menejiment ya davido kuupenyeza mziki wake west Africa, na kwasasa anashirikiana kwa karibu na akina Mr. Sande kuufanya mziki wake usikilizwe sana west Africa na amefanikiwa kwa 100% katika hili..

Sasa Kiba ni msanii mkubwa lakini mziki wake bado unasikilizwa east africa pekee! Bado haujajipenyeza afrika kusini na bado haujaingia kabisa west afrika!
Hapa ndipo ninaposema anatakiwa afanye networking na watu wanaolijua soko la west africa wasaidiane kuingiza mziki wake kule! Sasa yeye anaanza kutengeneza mabifu na watu ambao ndio wamelishikilia soko la muziki sehemu ambayo yeye bado hajulikani kabisa.. Ni makosa makubwa sana ya kimkakati!
Tuzo kitu gani, zipo kila mwaka usipopata leo utapata kesho au kesho kutwa... Usichinje kuku kwa njaa ya siku moja
 
Ali kiba hajalamika ametaka ufafanuzi kuhusu utaratibu wa ugawaji tuzo, na pia ni haki yake kujua na Kama tunzo ingekuwa sio yake wangetolea maelezo yanayoeleweka lakn kuirudisha tuzo kwa alikiba it means alideserve , na pia alikiba sio kwanza kulalamika ikumbukwe eddy kenzo pia alilalamikia mtvmama na yeye ni msanii mkubwa pia, kwahiyo ongeeni facts sio roho mbaya ziwasukume kuandika utumbo
Usipaniki na hakuna haja ya kutumia maneno makali maanza utaanza kutukana sasa hivi! Jifunze kuwa mvumilivu hata pale mtu akitoa hoja ambayo haukubakiani nayo, ndiyo dalili ya kupevuka kiakili..

Nahisi haujakifuatili hili suala kwa umakini? Inamaana hukusikia watangazajia wa xxl na ali kiba kwebye kipindi cha jahazi akihamasisha watu waende kwenye page ya mtv "kuwauliza" kwanini wamemnyima tuzo?? Mashabiki wake wakatii na wakaenda kutukana kule mtv.. Well, hakuwaambia wakatukane lakini anakuwa responsible kwa kuhamasisha watu wake kufanya intimidation..

Alafu eddy kenzo hakulalamika kwanini hajapewa tuzo! Alisema tu kuwa alichogundua ni kwamba upigaji kura hauna nafasi ya kuamua mshindi wa tuzo za MTV kwahiyo next time MTV waache kuwaambia watu wapige kura.. Hicho ndicho alichokisema
 
Hater!! Asante Sana,, naona unajibalaguza kunielekeza,, ngoja hili shangwe liishe halafu utanielekeza!! An amazing hater!!
"NAJIBALAGUZA KUKUELEKEZA" !!!!!!!!! we unajitambua kweli .........unalia kutokuweza kuweka ushahidi wako,kisha nakuwekea unasema najibalaguza ..............???
 
1478767072153.png

Msikuze sio WORLDWIDE ACT NI AFRICAN ACT AMBAYO NAYO hajastahili kumvimbe mpasuke,then wenye Tuzo hawasema chochote kuhusiana na hilo ila ni management ya Kiba ndo imesema Sasa huenda ikawa au isiwe jaribu kuelewa
 
Toeni ratiba ya kupokea tuzo ya mfalme.... Dar es salaam stand up (chid Benz voice)
 
Hawakujui King Kiba jeuri usiifate wala nini wacha walie ugali bwana maana mpaka watu wameililia ndio kukupa
 
Hiki kiuzi chenu nilikuwa nakipita tu, sasa ngoja niwatolee uvivu [emoji35] [emoji35]

Kwanza mimi ntabaki kuwa tomaso mpaka nikiona Kiba amekabidhiwa hiyo tuzo otherwise naona kelele za chura tu hizi.

Na endapo akikabidhiwa kweli hiyo tuzo hii nadhani ndio itakuwa tuzo yake ya kwanza ya kimataifa lakini naona ameanza kwa kujitilia nuksi! Tuzo gani unaipata kwa kung'ang'aniza?? Kuandika mibarua kama mwanasiasa?? Kutuma mashabiki wako wakatukane watoaji tuzo ili upewe wewe???
Hainogi, haisisimui, haina mvuto..

Hata kama tuzo ikitokea (nasisitiza kama ikitokea) akapewa hiyo tuzo hakuna ubishi kuwa Katika kile kinyang'anyiro hakukuwa na msanii aliyefanya vizuri kuliko Wizz, sasa unajisikiaje kutukana mitusi kumshutumu aliyepewa tuzo kwa kustahili kabisa anyang'anywe upewe wewe??? Hebu tuwe wa kweli, Africa yote hii ni moja wazungu ndio walituwekea hii mipaka hivyo hata wanaigeria ni ndugu zetu na ndugu yetu Wizz amefanya vizuri kuliko msanii yeyote yule mwaka huu. Mnaweza kuleta ubishi wa kupiga kura na mambo gani sijui lakini hamuwezi kubisha kuwa Wizz ni msanii bora mwaka huu kuliko msanii yeyeto yuke Afrika.

Naijua hulka ya Wizz na naijua hulka ya meneja wake Mr. Sande, inawezekana kabisa baada ya mashabiki wa kiba kufululiza kumtusi kwenye mitandao, labda wamesusa na wameamua wairudishe kwa hiari yao hiyo tuzo! Wizz sio mtu mwenye kukodolea macho tuzo, ni msanii anayejua thamani yake hata usipompa tuzo ndio maana kamwe huwezi kumkuta anahamasisha apigiwe kura. Ni mtu yuko bize na hustle zake, hanaga hizi drama za tuzo tuzo, binafsi kuna siku nimewahi kuongea na Ricardomomo yuke meneja wa WCB nikamshauri wamfanye Diamond kufuata mfano huu wa Wizz unaoonyesh ukomavu na kujitambua.

Mnasema kuwa mashabiki wa mondi walikuwa wanamtukana Davido na bado akapata collabo!! Aisee inamaana hamkumbuki au mnajisahaulisha makusudi??
Collabo ya Number 1 ilirekodiwa mwezi novemba 2013, video ikafanyika January 2014 na nyimbo ikatoka february mwaka huo. Bifu la mondi na davido lilianza mwezi wa 11 baada ya tuzo za channel O. Kwa ufupi bifu lao lilianza mwaka baada ya mwaka mmoja kupita toka collabo ifanyike..
Sasa juzi juzi Kiba amemgomea Wizz kupanda jukwaani mombasa kabla yake, leo mnawaandikia barua MTV wampokonye tuzo wampe yeye kiba.. Hivi mnadhani atawafikiriaje?? Akiwanyima collabo mtasema mondi kafanya figisu kwasababu ni maswahiba na Wizz?? Mnajiharibia wenyewe kila siku na mnakesha kutafuta mchawi wakati mnajiroga wenyewe!!

Kumbukeni Wizz ndiye mwanamziki mwenye mashabiki wengi zaidi huko west africa kwasasa, hivi vitendo mnavyomfanyia kumtukana na kumuandama kiasi hiki mnadhani mashabiki wake wataanza kumchukuliaje msanii wenu??? Kinyongo wanachokitengeneza dhidi ya msanini wenu itafanya iwe ngumu sana kwa Kiba kupenya west africa..

Narudia tena na tena, kiba hana washauri, hana watu strategic, hana gret thinkers, watu wanaowaza kibiashara kuhusu mziki, hana watu mahiri wenye uwezo wa kunetwork, hana management yenye kufikiri nje ya boksi.

Umahiri pekee walionao ni kulalamika, kuongeza maadui kila uchwao, kutafuta sympath kwa jamii hata kwa kupotosha, kujihisi wanajua ilhali wana mengi bado ya kujifunza, kumpumbaza msanii wao kwa kumuwekea kioo mbele yake mfano wa hadubini ili ajione mkubwa kuliko uhalisia.. Hii itawagharimu sana.!
Kiba ni msanii mzuri na anakipaji kikubwa but he has a long way to go.


The Bold.
wiz karudisha mpaka za MTV MAMA
 
Seriously??? [emoji15]

Ndio kiba aone balaa aliloanzisha..
inavoonekana
maana kafuta mpaka za MtvBase
wiz ana hasira, na haya ma team ni watu wapuuzi sana wamemtukana mpaka kakasirika nahisi Tuzo ameirudisha mwenyewe....!
Tuzo ishafika mikononi bado mnaigombea
si upuuzi huo
 
inavoonekana
maana kafuta mpaka za MtvBase
wiz ana hasira, na haya ma team ni watu wapuuzi sana wamemtukana mpaka kakasirika nahisi Tuzo ameirudisha mwenyewe....!
Tuzo ishafika mikononi bado mnaigombea
si upuuzi huo
Aisee! Nilihisi hiki kitu toka mwanzo kwamba kuna uwezekano Wizz ameamua kususa na kurudisha hizi tuzo baada ya kuchoshwa na matusi na kusakamwa na watu wa kiba.. Maana ilikuwa ngumu kwangu kuamini MTV wanaweza kufanya kitu unprofessional kiasi hiki kumpokonya mtu tuzo wampe mwingine..

Sasa menejimenti ya kiba wanasikia raha gani kupewa tuzo iliyosuswa?? And wanatengeneza image gani barani Afrika??
Hii ni aibu, sijawahi kushuhudia upuuzi wa kiasi hiki kwenye industry ya mziki Afrika..
 
Dai naye akachukue zake za MamaAwards[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu Diamond akifikia hatua hiyo ya kudai tuzo basi nitaacha rasmi kuwa shabiki yake!

Tuzo inatoka Nigeria hiyo kwa magwiji wa uchawi!kuna usalama kweli hapo?!

Tuzo za mikosi kama hizo hapana kwakweli![emoji23]!!unashangaa unachukua na ndio inakuwa ya kwanza na ya mwisho[emoji38][emoji38]!!wanaijeria washenzy sana wale.
 
Back
Top Bottom