Tuzo ya Best African Act aliyopewa Wiz Kid imerudishwa kwa mshindi halali Ali Kiba

nmewagundua team kiba wanang'ang'ania Tuzo
ili tu washindane na diamond
[emoji23][emoji23] diamond anawanyima usingizi sana team kiba
hamuwazi vitu vya msingi ila tu kushindana na diamond
mpka diamond afanye kitu ndo nanyinyi mfanye...
yani mnatabia za wakd wenza sana.
 
sawa umesikika
 
Hahahha, lazma umuote usiku tu Kiba
Simchukii kibra hata kidogo km unafikiria hvyo!tena napenda na kusikiliza baadhi ya nyimbo zake
Ila naona kick zimemzidi .... hadhi yake sio kufundishwa cha kufanya na mdogo wake
 
Ushindi wa mezani,na waandaji wamefeli hawana tofauti na Miss Tanzania
 
eboooo sasa hapo mwenye makosa na anaepaswa kulaumiwa ni Mtv au Ali?

Maana Mtv ndio walimpa tuzo Wizkid na hao hao ndio wanaoichukua na kumpa Ali.

Nilidhani labda utawalaumu Mtv na kuwaambia next time wawe Makini mambo kama haya yasije kutokea.
 
Aisee hata kama kiba alistahili ile ni too much! Yale matusi ya fans wake kule kwenye page ya wizkid aisee!
Nafikiri kiba angetumia busara flani kuliko hivyo........
Sasa kosa la Ali hapo liko wapi?

Au ulimuona Ali nae akitukana?
 
Ali na yeye itabidi arudishe tuzo za ktma kwa sababu akustahili
 
Simchukii kibra hata kidogo km unafikiria hvyo!tena napenda na kusikiliza baadhi ya nyimbo zake
Ila naona kick zimemzidi .... hadhi yake sio kufundishwa cha kufanya na mdogo wake
Kweli humchukii, maana hata jina lake ulivyoandika inaonyesha ni jinsi gani humchukii.
 
Kweli humchukii, maana hata jina lake ulivyoandika inaonyesha ni jinsi gani humchukii.
Mbona unamung'ang'anizia mwenzako kitu ambacho hana mtu akijaribu kutoa ushauri anamchukia waja wana mambo sana
 
Mbona unamung'ang'anizia mwenzako kitu ambacho hana mtu akijaribu kutoa ushauri anamchukia waja wana mambo sana
Wapi nimemng'ang'aniza!! Au we ndio unataka kumng'ang'aniza!!
 
Kweli humchukii, maana hata jina lake ulivyoandika inaonyesha ni jinsi gani humchukii.
Jina sio issue, mi jina langu halisi watu wanaonifaham walivyolipindisha na wanavyoniita ingekuwa ww inaonekana ungekuwa unagombana nao kila siku
Nimeandika in a positive way,mbona Juma Nature anatumia hyo hyo Kibra km aka yake
 
Jina sio issue, mi jina langu halisi watu wanaonifaham walivyolipindisha na wanavyoniita ingekuwa ww inaonekana ungekuwa unagombana nao kila siku
Nimeandika in a positive way,mbona Juma Nature anatumia hyo hyo Kibra km aka yake
Kibra kapewa tuzo[emoji28][emoji28]???
In positive way............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…