Yaani kujidhalilisha wajidhalilishe wao kwa kutaka kufunga goal la mkono alafu unasema Ali akatae tuzo EbooooooooSasa ule mkwanja wa tuzo Wiz atarudsha? Au ndio yale mambo ya wakuu wa mikoa na mwenge.
BTW hawa jamaa wanaondaa tuzo wamejidhalilisha sana na wamemuumiza sana Wizkid kwenye hili.
Nitafurahi Kiba akiikataa ili kutunza heshima yake pia.
Haters[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mtakoma mwaka huu na badooo!!! Nakumbuka tuzo alipopewa wizkid mliponda kwamba Ali kiba hakustahili sa hivi haki inatendeka bado manonyesha chuki za waziwazi, HV kwann nyie team domo na domo wenu na sallam mnamuonea wivu king wetu kwa haya mafanikio yake , acheni roho mbaya basi sisi mbona tumenyamazaYaan team kiba sijui mna matatizo gani tena nahisi kwny tathmin ya 2/10 ni vichaa nahisi walimaanisha team kiba
Yan katuzo kamoja watu hatupumui
By the way juzi Diamond kachukua tuzo 3 kiroho safi Team diamond wametulia wala hawakuw na papala sas katuzo kamoja hako tena ka kubembeleza kwa MTV EMA ndo wanaanzisha uzi kelele kibao
Cjui Team kiba mlikula maharage ya wapi................
#akili_fupi_kama_kipensi_cha_kiba kile cha fiesta
Haters[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mtakoma mwaka huu na badooo!!! Nakumbuka tuzo alipopewa wizkid mliponda kwamba Ali kiba hakustahili sa hivi haki inatendeka bado manonyesha chuki za waziwazi, HV kwann nyie team domo na domo wenu na sallam mnamuonea wivu king wetu kwa haya mafanikio yake , acheni roho mbaya basi sisi mbona tumenyamaza
Kwahiyo collabo mpaka wizkid tu, akwendree kwani ye nan au nani anamshobokea [HASHTAG]#hapakingtu[/HASHTAG]View attachment 431865 Alafu baadaye mkinyimwa collabo mtasema diamond platnumz kawabania, mmetukana ww mpaka mwenyewe kamaindi hii post imetumwa masaa kumi yaliyopita, tubadilike sometime unaweza ukaamini unajenga kumbe unabomoa
Ahahahaha poa mkuu wacha abebe... Lakini nafikiri kukataa hii kutampa heshima zaidi na itakua topic ya karne.Yaani kujidhalilisha wajidhalilishe wao kwa kutaka kufunga goal la mkono alafu unasema Ali akatae tuzo Eboooooooo
Tuzo anastahili Ali na ni jambo la kujivunia kupewa Tuzo yake.
Kuna kosa nimelifanya mkuu.Mkuu hiyo mipicha imejipost?
-Nyerere-
Kiba hashindani na wizkid anapigania tuzo yake ambayo alipewa mtu mwingine kimakosa,nyie watu mbon uelewa wenu mdogo sana?kweli acha CCM atawale milele coz watu wenyewe anaowatala hawajielewi hata haki haki zao wanaogopa mtu fulani yupo juuUshindi ni ushindi tu hana haja ya kujitafakar zaidi ya kusonga mbele mashabiki wake tupo nyuma
Hahahah nmecheka sana ukifikiria hili neno lazima uchekeUKIONA CHOO NDOTONI USIKITUMIE,UTAUMBUKA.
Hongera kwakeMTV Base East @MTVBaseEast 5m5 minutes ago
Congratulations to @OfficialAliKiba for his well-deserved win as Best African Act at the 2016 #MTVEMA
Hahahahahhaha wazeee wa kulilia tuzoKwahiyo mmeenda kulilia tuzo?