Tuzo ya Nobel Yanukia Kwa Rais Samia. Mapambano Yake ya kupigania Nishati Safi Ya kupikia Yampaisha Duniani Kote

Tuzo ya Nobel Yanukia Kwa Rais Samia. Mapambano Yake ya kupigania Nishati Safi Ya kupikia Yampaisha Duniani Kote

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Labda tuzo ya Nobel ya yule golikipa wa fountain gate
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe jamaa ni msanii sana! Hata wewe unastahili hiyo tuzo kwa kuweza kuona yale ambayo watz wenzako kwa mamilioni wameshindwa kuyaona. Hebu fuatilia habari za kijana Maxiwell wa Zimbabwe uone jinsi uvumbuzi na usanifu wake utakavyoweza kubadili maisha ya wazimbabwe, waafrika na duniani kwa ujumla. Halafu jaribu kufanya ucha mbuzi wa ulinganifu (comparative analysis?)
 
Gas ishuke bei kiasi cha wananchi wengi kumudu kununua na kujaza waachane na kuni/mkaa hapo nobel ataipata mapema tu.
 
Gas ishuke bei kiasi cha wananchi wengi kumudu kununua na kujaza waachane na kuni/mkaa hapo nobel ataipata mapema tu.
Mimi nilifikiri Lucas angetuambia hiyo nobel inatarajiwa kwa kuhamasisha matumizi sahihi ya rare minerals ili kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi?Kama ndivyo tusingewaiuzia wakore hizo za kwenye bahari.Au wamarekani kule kageeeraa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna anayetoa Nobel Prize kwa mtekaji na muuaji
 
J
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jinga wewe na tuzo ya ku.......n.....du lako. Labda apate tuzo ya utapeli na uchuuzi. Jinga kubwa. Wazazi wako waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama huyo hapo ,Dunia nzima inaelewa jitihada zake.

Akiitosha mkutano wanaitikia.Atakukbukwa Kwa jambo Hilo kubwa Afrika na Duniani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi ya kupikia Barani Afrika Na Duniani Kwote.

Ndio Sauti ya Wanawake wote ,ndio mkombozi wa wanawake ambao wamejikuta wakiathirika kiafya kutokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa katika kupikia.Ndio Sauti pekee inayosikika na kusikilizwa juu ya nishati safi ya kupikia,ndio Sauti ambayo inaendelea kusikika masikioni kwa Mataifa tajiri na masikini,ndio mtetezi wa mwanamke na mtoto wa kike Duniani Kwote.

Rais wetu kipenzi anataka iwe mwisho wa machozi ya wanawake na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya nishati hiyo hatarishi ya kuni na mkaa kupikia. Rais Samia Ameibuka na kuinuka kama nyota ya matumaini katikati ya giza kuwafuta machozi na kuwakomboa wanawake .

Kwa njia hiyo Rais Samia amefanya kazi ya kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kishujaa na kihodari sana. Kwanza kwa kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kama vile gas, umeme n.k. maana yake anafanya kazi ya kuokoa mazingira yetu .kwa sababu kila mwaka maelfu kwa maelfu hadi mamilioni ya miti yamekuwa yakikatwa na kuteketezwa kwa ajili ya kuni na kuchoma mkaa. Hali ambayo imekuwa ikiacha jangwa Maeneo mbalimbali Duniani kwote hususani katika Nchi zinazoendelea.

hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea na kuchochea mabadiliko ya hali ya hewa maeneo mbalimbali Duniani kwote.kama vile ongezeko la joto kali pamoja na ukame mkali ambao umesababisha madhara mbalimbali kama vile kufa kwa wanyama,kukauka kwa mimea na hivyo kutokea kwa njaa,kukauka na kupungua kwa vyanzo vya maji na hivyo kuleta athari za upungufu wa umeme kwa wale wanaotegea maji kama chanzo kikuu cha uzalishaji umeme.

Lakini pia hali hiyo imekuwa ikigharimu serikali zote pesa nyingi sana katika kukabiliana na athari hizo. Pesa ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyinginezo za maendeleo kama vile ujenzi wa shule, zahanati,vituo vya afya, miundombinu ya barabara, usambazaji wa Maji na umeme kwa bei nafuu na mengine mengi.

Lakini vilevile kampeni ya Rais Samia inaokoa Maisha ya Mwanamke na mtoto wa kike kutokana na matumizi ya kuni na mkaa kupikia. pia inainua uchumi wa mwanamke kwa kutumia muda wake katika shughuli za kiuchumi badala ya kusafiri umbali mrefu kwenda porini kutafuta kuni.

jambo ambalo wakati mwingine limeleta madhara kama vile watoto wa kike kubakwa maporini,kuumwa na nyoka ,kuumwa na kuvamiwa na wanayama wakali wa msituni pamoja na kuumia kwa kudondoka kwenye miti au kuchomwa na vitu kama vile miiba,miti na ajali mbalimbali za porini.

Kuibuka kwa Rais Samia na kampeni hii ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kunamfanya Mama kuwa nuru na tumaini kwa wanawake na watoto wa kike ulimwenguni kwote. Jambo hilo la kuokoa Maisha ya mamilioni ya wanawake na watoto wa kike ulimwenguni pamoja na kuokoa mazingira kunamfanya Rais Samia kuwa na Nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Nobel.

Sioni kinachoweza kumzuia kubeba tuzo hiyo ya heshima kabisa Duniani Kwote. Mama anastahili kabisa bila kipingamizi kupata heshima hiyo. Naamini waandaaji wa tuzo hiyo mpaka muda huu watakuwa wameshaona mchango chanya wa Mama na kusubiri wakati ufike tu ili waweze kumpatia Mama yetu Mpendwa na shujaa wa Afrika.View attachment 3236800View attachment 3236802View attachment 3236804View attachment 3236805

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
**** la Mama yako linatoa utoko
 
Gas ishuke bei kiasi cha wananchi wengi kumudu kununua na kujaza waachane na kuni/mkaa hapo nobel ataipata mapema tu.
Hilo limeshaanza tayari na ndio maana unaona Mitaani kunagawiwa mitungi ya gasi iliyojaa kwa bei ya Ruzuku
 
Lukas, shule umesoma kweli ? Au janja janja ? Okay unajua nomination ya Nobel Prize inafanyikaga SEPTEMBER tu , na hii ni FEBRUARY, ANYWAYS QUICK FACTS ABOUT NOBEL PRIZE
  • The nomination processes start in September each year.
  • No person can nominate herself/himself for a Nobel Prize.
  • The names of the nominees cannot be revealed until 50 years later.
  • All nominations are collected in one archive
Ulisema bullet namba mbili inasema huwez kujichagua mwenyewe kama mama alivyojichagua mwenyewe kwanza hiyo kamati kuu yenu. Nadhani utakuwa umeelewa kule huwezi kujichagua
Uwe na subira maana muda unakuja ambapo Dunia nzima itasimama na kufurahia ushindi wa tuzo ya Nobel kwa Rais Samia
 
Wenye akili Timamu wanatambua namna Rais Samia alivyo na maono makubwa pamoja na jicho la Tai la kuona mbali. Ndio maana kama Taifa tunafanya vyema sana kiuchumi.
Mataahira kama wewe ndio hamjui kama kuna watu amewanyima haki yac ya kuishi
 
Back
Top Bottom