Tuzo za CAF 2024: Kwanini Diamond Platnumz hakushangiliwa hata na mtu mmoja alipotumbuiza?

Tuzo za CAF 2024: Kwanini Diamond Platnumz hakushangiliwa hata na mtu mmoja alipotumbuiza?

Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
Wakati mwingine wivu na roho mbaya vinaweza kukufanya ukaona unachotaka kuona tu na si vinginevyo.
 
Nilikuwa nasema uyu jamaa hajui ku performe kulingana na audiences .uwezi tumia dk 5 kucheza na dk 1 kuimba wakati una dancer sasa maana ya kuwa na dancer ni nini ..sehem kama ile aibu itaji fujo fujo
 
Cha muhimu ni maokoto (pesa)
Shangwe baki nalo ww.
All the best
 
Kuimba live band ndio kipaji cha mtu kilipo,
Kuimba kupitia recorded audio (iliyochunjwa, na ku haririwa na technology, sio kipaji!)

Viapaji ni kama

BANANA ZORO
CHRISTIAN BELLA
ROSE MUHANDO
Umewahi kumsikia barnaba boy na rubby? Utafurah hakika. Barnaba anapumzi ya kutosha, rubby sauti yake ni ile ile ya redioni
 
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
Watu walimlia bati kama awamsikii vile
 
Kishakunja hela yake kama juzi Kenya alivyokunja USD 150k kaamsha.
 
Siangqliagi upuuzi ila hii habari ni ya uongo.

Hata kama msanii hapendwi, hawezi kukosa shabiki hata mmoja
Ulitazama? Huo ndiyo ukweli. Hata alipomaliza ni kama hakukuwa na chochote kilichofanyika. Washereheshaji wakaendelea na mengine
 
Back
Top Bottom