Tuzo za CAF: Kocha wa Simba apenya, Yanga yatupwa

Tuzo za CAF: Kocha wa Simba apenya, Yanga yatupwa

Utopolo ni kama inzi wa kijani..unafia kwenye mavi unayasifu ili mradi watu tuyaone keki kama unavyoyaona wewe.
Aliyesema kombe la "luza" ni msemaji wenu haji manara,ila kwa vile akili zenu zimeishia kwenye shit,mnapiga kelele tu
Sio kama nzi, bali ni nzi kabisa
 
Mleta uzi una elimu ya kutosha ila huna akili kabisaa.
Tuzo ni za msimu uliopita sasa 2023 inaingiaje hapo?
Yaani ghafla tu kocha wa losers mmeanza kumkubali namna hii?
Screenshot_20231207_171709_Chrome.jpg

Aliyeweka 2023 sio mimi ni CAF
Aliyeweka logo ya Simba sio mimi ni CAF
Unajikuta wewe ndio bwege
 
Kwani ukiwa shabiki wa makolo ni lazima uwe mbumbumbu?

Oooops nimekumbuka Rage alisema wote ndio maana.

Leo mashindano ya loosers cup yana maana kwenu baada ya kuyasagia kunguni sana🤣
 
Kocha Benchikha amepenya kwa sababu msimu uliopita aliipa timu yake ya wakati huo ya USM Alger makombe mawili; Kombe la Losers, na lile la super cup!

Na siyo kwa sababu anafundisha simba papatu papatu.
Kuna mtu amekataa? Taja timu ya kocha ya sasa. Kwa hiyo CAF wajinga walioweka logo ya Simba hapo?
 
Kuna mtu amekataa? Taja timu ya kocha ya sasa. Kwa hiyo CAF wajinga walioweka logo ya Simba hapo?
Simba haihusiani na sifa iliyomuweka hapo, huo ni utaratibu wa kuweka hivyo kufahamika ni timu gani aliyopo wakati anaowania tuzo hizo.

Mbona hamuongelei hizo bendera za nchi wanazofundisha hao wa Morocco na Senegal?
 
Si mlisema yalikuwa mashindano bya loosers sasa mara hii kocha alotoka kwenye hayo mashindano ndo mnakenua hivo
Rage ni nabii
Mbumbumbu
Hahaaaaa, eti Rage ni Nabii?😆😂🤣😄😅
 
Sasa iyo CAF Super Cup alicheza vipi bila kubeba Losers Cup?! Mbona unajitekenya afu unacheka mwenyewe?!
Kubeba loser Cup ni kama ticket tu ya kupata access ya kushiriki Super Cup

Haina maana loser Cup ni tournament yenye thamani
 
Simba haihusiani na sifa iliyomuweka hapo, huo ni utaratibu wa kuweka hivyo kufahamika ni timu gani aliyopo wakati anaowania tuzo hizo.

Mbona hamuongelei hizo bendera za nchi wanazofundisha hao wa Morocco na Senegal?
Kocha wa Simba aingia tatu bora, Yanga yatupwa. Huelewi nini hapo
 
Vitu vingine ni ujuha wakitanzania... Kocha amechaguliwa akiwa anatumikia timu nyingine madera wanavaa wanaume wa Simba😅... Punguzeni shobooo ..... Timu take inayotajwa ni Usm Algers na sio Tatu malogo.
 
Utopolo ni kama inzi wa kijani..unafia kwenye mavi unayasifu ili mradi watu tuyaone keki kama unavyoyaona wewe.
Aliyesema kombe la "luza" ni msemaji wenu haji manara,ila kwa vile akili zenu zimeishia kwenye shit,mnapiga kelele tu
Manara alisema kombe la loser na nyie Makolo vile msivyokuwa na akili kama alivyotuambia Rage kwamba nyie Mambumbumbu mkaendeleza msemo wa kombe lile ni la loser mwisho wa siku mkaenda kuchukua kocha aliyeshinda kombe hilo hilo la loser tena kwa mbinde eti aje kuwasaidia,nyie kweli MambumbumbuXtra
 
Back
Top Bottom