OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Sio kama nzi, bali ni nzi kabisaUtopolo ni kama inzi wa kijani..unafia kwenye mavi unayasifu ili mradi watu tuyaone keki kama unavyoyaona wewe.
Aliyesema kombe la "luza" ni msemaji wenu haji manara,ila kwa vile akili zenu zimeishia kwenye shit,mnapiga kelele tu
Tuzo zinatolewa kwa kuangalia mwaka mzima mayele kaingia hapo kwa yale aliyofanya akiwa yangaHausiki na Yanga huyo usifosi undungu sheikh, we komaa na Pacome
Mleta uzi una elimu ya kutosha ila huna akili kabisaa.
Tuzo ni za msimu uliopita sasa 2023 inaingiaje hapo?
Yaani ghafla tu kocha wa losers mmeanza kumkubali namna hii?
Namkubali sana Aliou Cisse ila hii tuzo anastahili huyo kocha wa Morocco Walid.Kama Simba imetajwa hapo niuweniView attachment 2835762
Sasa iyo CAF Super Cup alicheza vipi bila kubeba Losers Cup?! Mbona unajitekenya afu unacheka mwenyewe?!Actually amepokea tuzo kwasababu ya kushinda kombe la Super Cup sio loser Cup ya washuka daraja
We chizi hujaona nembo ya Simba hapo??Kama Simba imetajwa hapo niuweniView attachment 2835762
Kocha Benchikha amepenya kwa sababu msimu uliopita aliipa timu yake ya wakati huo ya USM Alger makombe mawili; Kombe la Losers, na lile la super cup!View attachment 2835709
Mshika remote wa vichwa vya fans wa Yanga tunaomba uwaset Uto wajadili bila jazba na matusi
Muonee huruma. Ni kijana wa Rage huyo.Sasa iyo CAF Super Cup alicheza vipi bila kubeba Losers Cup?! Mbona unajitekenya afu unacheka mwenyewe?!
Wa Morocco aliibeba Africa, lakini bila shaka unawajua CAFNamkubali sana Aliou Cisse ila hii tuzo anastahili huyo kocha wa Morocco Walid.
Kuna mtu amekataa? Taja timu ya kocha ya sasa. Kwa hiyo CAF wajinga walioweka logo ya Simba hapo?Kocha Benchikha amepenya kwa sababu msimu uliopita aliipa timu yake ya wakati huo ya USM Alger makombe mawili; Kombe la Losers, na lile la super cup!
Na siyo kwa sababu anafundisha simba papatu papatu.
Simba haihusiani na sifa iliyomuweka hapo, huo ni utaratibu wa kuweka hivyo kufahamika ni timu gani aliyopo wakati anaowania tuzo hizo.Kuna mtu amekataa? Taja timu ya kocha ya sasa. Kwa hiyo CAF wajinga walioweka logo ya Simba hapo?
Hahaaaaa, eti Rage ni Nabii?πππ€£ππSi mlisema yalikuwa mashindano bya loosers sasa mara hii kocha alotoka kwenye hayo mashindano ndo mnakenua hivo
Rage ni nabii
Mbumbumbu
Kubeba loser Cup ni kama ticket tu ya kupata access ya kushiriki Super CupSasa iyo CAF Super Cup alicheza vipi bila kubeba Losers Cup?! Mbona unajitekenya afu unacheka mwenyewe?!
Mzee hiyo logo ya 5imba si imewekwa kwenye page ya 5imba hilo Tangazo au huoni mzee? Mnajitafutizia furaha kwa kila namna.Unaweza kuelezea logo ya Simba inatafuta nini hapo?
Nakazia Rage apewe TUZO
Kocha wa Simba aingia tatu bora, Yanga yatupwa. Huelewi nini hapoSimba haihusiani na sifa iliyomuweka hapo, huo ni utaratibu wa kuweka hivyo kufahamika ni timu gani aliyopo wakati anaowania tuzo hizo.
Mbona hamuongelei hizo bendera za nchi wanazofundisha hao wa Morocco na Senegal?
Punguza ujinga wakishoqer... Kuna status ya Simba katika tuzo hiyo?.Kocha wa Simba aingia tatu bora, Yanga yatupwa. Huelewi nini hapo
Manara alisema kombe la loser na nyie Makolo vile msivyokuwa na akili kama alivyotuambia Rage kwamba nyie Mambumbumbu mkaendeleza msemo wa kombe lile ni la loser mwisho wa siku mkaenda kuchukua kocha aliyeshinda kombe hilo hilo la loser tena kwa mbinde eti aje kuwasaidia,nyie kweli MambumbumbuXtraUtopolo ni kama inzi wa kijani..unafia kwenye mavi unayasifu ili mradi watu tuyaone keki kama unavyoyaona wewe.
Aliyesema kombe la "luza" ni msemaji wenu haji manara,ila kwa vile akili zenu zimeishia kwenye shit,mnapiga kelele tu