Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia pekee ya kuwaepusha na ushetani huu ni kuwafanyie maagano ya kuwaepusha na mambo machafu wanao kulingana na imani yako.Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
sawa dada ila nani alikwambia na ww uangalie porno siku ilee????'tena ulifikiri upo sirini daaah so sadHili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
😳😳😳😳😳😳Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Wengi sikuhizi wanaona bora Dayna wasichana kwa wasichana wanajuana, huwa wanatuchora tu wanaume, wakimaliza mashule wanakuja mtaani huku wanaolewa na harusi, wenzao wanatuchora tu wanaume, wanajua kule enzi hizo alikuwa mwanamke wa mwanamke mwenzie matomboy ya sekondari. nimemkuta mzazi mmoja anapata shida aina ya shule kupeleka mtoto, wengine wanasema bora day.
Madhara yake yapo kisaikolojia zaidi...huyo Msagaji na Msagwaji hawataona umuhimu wala utamu wa Dushe zetu hivyo hata kuja kuzalishwa watoto itakuwa kimbembeUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Kweli kabisaShule za bweni za siku hizi miyeyusho Sana.
Bora hata kumsomesha mtoto shule ya kutwa
Mmh madhara yake ni ya kufikirika bana.....anyway sisapoti hizo tabia. Ila mi kama mi huwa sioni madhara yake.Madhara yake yapo kisaikolojia zaidi...huyo Msagaji na Msagwaji hawataona umuhimu wala utamu wa Dushe zetu hivyo hata kuja kuzalishwa watoto itakuwa kimbembe
Pia inategemea wanatumia nini kufanya milling, kama watatumia aidha Carrot au matango yenye nchi 9 urefu na upana nchi 4....hii itawatengenezea Mabwawa na kusababisha kuona Dushe zetu za 7 Inches kuwa Vibamia
Umeona sasaaa
Athari zipo kubwa sana psychological, ukikutana na wale waliobobea hata hawataki tena mwanaume, Me kuna dada mmoja nlisoma naye O'level mpaka leo hana mwanaume na ni msagaji hatariUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Mtoto anatoka, Tango linaingia 🤣Mmh madhara yake ni ya kufikirika bana.....anyway sisapoti hizo tabia. Ila mi kama mi huwa sioni madhara yake.
Tango litanue uchi, ambao mtoto/watoto wanapita na hawatanui? Sidhani
Shule ya Mariana?Kuna shule moja ya wasichana tupu ipo hapa Bagamoyo ni shida kubwa. Wasichana wanakoboana hadi wanagombaniana mademu zao kiasi cha kupigana.
Kuzuia hiyo tabia ni vigumu mno! kwasababu ni mambo ya sirini yanafanyika kwa kificho hadi kuja kugundulika inakuwa too late msichana keshaonjeshwa / kuonja ladha ya chumvi chumvi chumvini.
Ila kwa mzazi / mlezi au ndugu inaumiza sana kuwa na mtoto msagaji au shoga
Tunakosa watoto na jamii inaporomokaUkiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??
Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Au hao walimu wanajua kinachoendelea na wanakaa kimya? Inawezekana hizo tabia zinapandikizwa Kwa makusudi na wenye ajenda zao Kwa vizazi vyetu.na namna tunavyozidi kunyamaza, ndivyo wanavyozidi. swali langu, hivi waalimu wao, tena wengine masista, huwa hawajui hilo? kwanini mtoto mjinga wasifukuze shule watoto wengine wapone? kwanini hawachunguzi?
Hajawahi tu kubahatishwa na shababi rijali matata likamshawishi limtie mimba.Athari zipo kubwa sana psychological, ukikutana na wale waliobobea hata hawataki tena mwanaume, Me kuna dada mmoja nlisoma naye O'level mpaka leo hana mwanaume na ni msagaji hatari
Da! Saiz cjui Kila mmoja abaki na familia yake kama wazungu vile, Yani hata ukikaribisha ndg nyumbani unaanza kuwaza juu ya usalama wa watoto wasije kuingiliwa kinyumeMama mmoja jirani yetu binti yake alikuwa msagaji aliyekubuhu. Mama yake kahangaika sana sana sana hadi kwenda kuombewa aka confess. Baada ya hapo akaelezea kuwa alianzishiwa mchezo wa kusagana tangu akiwa bado mdogo sana darasa la Tano shule ya msingi na shangazi yake ambaye alikuwa anapelekwa kwa huyo shangazi yake wakati wa likizo anakaa huko likizo hadi likizo inamalizika anarudi nyumbani anajiandaa kwenda shule (boarding).
Alirubuniwa kwa kununuliwa Zawadi ya nguo za ndani ,suruali, maua ,chipsi -soda na kuku, pamoja na kupewa hela ndogo ndogo. Alikuwa na tabia hiyo hadi chuo kikuu ambako ndio wazazi wake walikuja kugundua.
Wasagaji mbona wanazaa broTunakosa watoto na jamii inaporomoka