Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mkuu sio masihara ninavyochati na wewe nasubiri mmoja wao wanamalizia sijui wanaita prepo nikutane nae mda huuKwahiyo mkuu unakulaga uno la sogojo pole pole na daily 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio masihara ninavyochati na wewe nasubiri mmoja wao wanamalizia sijui wanaita prepo nikutane nae mda huuKwahiyo mkuu unakulaga uno la sogojo pole pole na daily 😂😂😂
Sasa hivi nipo freshi mkuu
Hiyo shule ni olevo au a levoMkuu sio masihara ninavyochati na wewe nasubiri mmoja wao wanamalizia sijui wanaita prepo nikutane nae mda huu
A levo na o levo wote wapoHiyo shule ni olevo au a levo
Sawa mkuu we tembeza bakora wakasimulie wenzao alaaaA levo na o levo wote wapo
Yah kikubwa umakini tu maana ukijichanganya tu miaka 30 hii hapaSawa mkuu we tembeza bakora wakasimulie wenzao alaaa
Jaivah ft marioo - kautaka remix ipo njiani
Ni hatari sana halafu si salama hata kidogoDa! Saiz cjui Kila mmoja abaki na familia yake kama wazungu vile, Yani hata ukikaribisha ndg nyumbani unaanza kuwaza juu ya usalama wa watoto wasije kuingiliwa kinyume
kwaiyo saizi kote shida boys wanafiranaHili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.
Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.
Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.
Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Girls?Shule ya Mariana?
Sasa hivi nipo freshi mkuu
Maji ya moto mkuuGood news Mkuu. Tiba gani ilikuponya?
-Kaveli-
Mkuu nje ya mada kidogoMatumizi yapoje?
-Kaveli-
Mkuu nje ya mada kidogo
kwani wewe unaona idadi ya membaz wanao angalia hii thread
Nikajua kwangu tu mkuu aaah me ndo nilikuwa naipenda ileee ya kuonesha idadi ya membazHapana. Sioni idadi ya Wasoma uzi.
-Kaveli-
Kwani mkuu unaumwa vidonda vya tumboMatumizi yapoje?
-Kaveli-
Hajafikaaa tu?? 😂😂Kwani mkuu unaumwa vidonda vya tumbo