Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Njia pekee ya kuwaepusha na ushetani huu ni kuwafanyie maagano ya kuwaepusha na mambo machafu wanao kulingana na imani yako.
 
sawa dada ila nani alikwambia na ww uangalie porno siku ilee????'tena ulifikiri upo sirini daaah so sad
 
Wengi sikuhizi wanaona bora Day
 
Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??

Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Madhara yake yapo kisaikolojia zaidi...huyo Msagaji na Msagwaji hawataona umuhimu wala utamu wa Dushe zetu hivyo hata kuja kuzalishwa watoto itakuwa kimbembe

Pia inategemea wanatumia nini kufanya milling, kama watatumia aidha Carrot au matango yenye nchi 9 urefu na upana nchi 4....hii itawatengenezea Mabwawa na kusababisha kuona Dushe zetu za 7 Inches kuwa Vibamia

Umeona sasaaa
 
Mmh madhara yake ni ya kufikirika bana.....anyway sisapoti hizo tabia. Ila mi kama mi huwa sioni madhara yake.

Tango litanue uchi, ambao mtoto/watoto wanapita na hawatanui? Sidhani
 
Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??

Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Athari zipo kubwa sana psychological, ukikutana na wale waliobobea hata hawataki tena mwanaume, Me kuna dada mmoja nlisoma naye O'level mpaka leo hana mwanaume na ni msagaji hatari
 
Mmh madhara yake ni ya kufikirika bana.....anyway sisapoti hizo tabia. Ila mi kama mi huwa sioni madhara yake.

Tango litanue uchi, ambao mtoto/watoto wanapita na hawatanui? Sidhani
Mtoto anatoka, Tango linaingia 🤣

Ni km wale wanaofanya back na kusingizia mbn uchafu mkubwa unatoka why airuhusu dushe kuingia?

Iliumbwa kuruhusu kutoa, sio kuingiza
 
Shule ya Mariana?
 
Ukiachana na magonjwa, kusagana huwa ina madhara gani kwani??

Naonaga ni kitu ambacho wala hata hakinaga ishu yoyote yani, tofauti na ikitokea upande wa pili
Tunakosa watoto na jamii inaporomoka
 
na namna tunavyozidi kunyamaza, ndivyo wanavyozidi. swali langu, hivi waalimu wao, tena wengine masista, huwa hawajui hilo? kwanini mtoto mjinga wasifukuze shule watoto wengine wapone? kwanini hawachunguzi?
Au hao walimu wanajua kinachoendelea na wanakaa kimya? Inawezekana hizo tabia zinapandikizwa Kwa makusudi na wenye ajenda zao Kwa vizazi vyetu.
 
Kuna shule moja niliwahi kufika Mkoani mwanza mwaka 2006 nilistaajabu sana.
Vyoo na bafu za mabweni ya wasichana havikuwa na milango. Vilevile chumba cha Matron katika bweni hilo pia hakikua na mlango, nikaambiwa hiyo ndiyo formula wanayotumia kupambana na hali hiyo.
 
Da! Saiz cjui Kila mmoja abaki na familia yake kama wazungu vile, Yani hata ukikaribisha ndg nyumbani unaanza kuwaza juu ya usalama wa watoto wasije kuingiliwa kinyume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…