Tuzungumze sababu zinazorudisha nyuma ukuaji wa e-commerce(Biashara za mitandaoni Afrika)

Tuzungumze sababu zinazorudisha nyuma ukuaji wa e-commerce(Biashara za mitandaoni Afrika)

RAFA_01

Senior Member
Joined
Aug 10, 2022
Posts
103
Reaction score
169
Kabla hatujaenda kwenye maada ngoja tumsaidie maana ya e-commerce kwa asiefahamu:

(In a layman way) e-commerce ni uuzaji/ununuaji wa bidhaa au huduma kwenye mtandao mahala popote.
Mfano: Umekaa kwenye kochi unachukua simu/laptop unaingia mtandaoni unaagiza bidhaa unaletewa mpaka nyumbani kwako bila kwenda dukani.

Kuna sababu zinazorudisha nyuma hii biashara kama miundombinu, elimu n.k lakini sababu kuu Tz ni zipi hasa? Maana electronics business haipo tu ya namna hiyo kuna namna nyingi na internet ina fursa nyingi sana.

Vijana wengi hawana ajira lakini internet ingeweza kuwasaidia wengi. Hii kitu imerahihisha mtu kukaa chumba kimoja au kuweka mawazo yako na mtu ambae kizaman zaman usingeweza kumjua wala kumuona.

Tatizo hili lipo hata kwa wasomi, juzi usiku napigiwa simu na mtu anataka aelekezwe jinsi ya kufanya malipo kwa Mastercard, Mind you ana elimu huyo zaid ya degree na ni kijana. Kwa utaratibu huu tutafika kweli?

Ili tuendelee inabid tuwe tunatatua matatizo yetu kwa ku intergrate technology, hakuna namna maana maendeleo yote toka zaman yaliletwa na mabadiliko ya uvumbuzi.

Narudi kwenye point kubwa, KWANINI HAKUNA MAENDELEO YA E-COMMERCE?
 
mambo ambayo yanafelisha sana biashara hii japo tukiifanya serious na kuiwezesha huenda ila kauli ya kila mmoja anaweza kujiajiri ikafanya kazi japo kuna baadhi ya changamoto,

1,Uaminifu
hapa kwa wabongo ni kugumu mno,wengi wa wafanya biashara za online ni wezi kiasi cha kuwavunjia baadhi ya watu waaminifu imani kwa wateja so hapa serikali ingetengeneza mfumo wa verified nikiwa na maana

unasajili biashara yako ya online kwenye mfumo fulani wa serikali kwa kuwasilisha documents kadhaa zinazo kuverify incase ukifanya tofauti iwe simple kukamatwa na hata kuwa na wadhamini.

2,Miundombinu
Hapa nako kuna mtihani kuna baadhi ya maeneo ndani ya nchi hii miundombinu si mizuri na pia imekaa kushoto unaweza mpelekea mtu bidhaa lakini mpaka umfikie alipo unaweza tumia hata masaa 5, na kuna baadhi ya maeneo hayajulikani kabisa japo ni dar

3.Gharama za bundle/vifurushi
hapa ndo kuna mziki mwengine maana ili hii biashara uifanye vizuri unahitajika kuwa online 24/7 ili uweze kuwajib na kuwahudumia wateja muda wote.

ambapo unaweza kujikuta unatumia mpka 100k kwa mwezi kwa ajili tu ya vifurushi kwa mwezi wakati mtaji wako wa biashara bado mdogo
 
mambo ambayo yanafelisha sana biashara hii japo tukiifanya serious na kuiwezesha huenda ila kauli ya kila mmoja anaweza kujiajiri ikafanya kazi japo kuna baadhi ya changamoto,

1,Uaminifu
hapa kwa wabongo ni kugumu mno,wengi wa wafanya biashara za online ni wezi kiasi cha kuwavunjia baadhi ya watu waaminifu imani kwa wateja so hapa serikali ingetengeneza mfumo wa verified nikiwa na maana

unasajili biashara yako ya online kwenye mfumo fulani wa serikali kwa kuwasilisha documents kadhaa zinazo kuverify incase ukifanya tofauti iwe simple kukamatwa na hata kuwa na wadhamini.

2,Miundombinu
Hapa nako kuna mtihani kuna baadhi ya maeneo ndani ya nchi hii miundombinu si mizuri na pia imekaa kushoto unaweza mpelekea mtu bidhaa lakini mpaka umfikie alipo unaweza tumia hata masaa 5, na kuna baadhi ya maeneo hayajulikani kabisa japo ni dar

3.Gharama za bundle/vifurushi
hapa ndo kuna mziki mwengine maana ili hii biashara uifanye vizuri unahitajika kuwa online 24/7 ili uweze kuwajib na kuwahudumia wateja muda wote.

ambapo unaweza kujikuta unatumia mpka 100k kwa mwezi kwa ajili tu ya vifurushi kwa mwezi wakati mtaji wako wa biashara bado mdogo
Kabisa nakubaliana na wewe, ile sera ya kujiajiri ilikuwa inaweza kukamilika kwa kupitua matumizi ya internet ila changamoto ndio kama ulivyozisema.

Bundle nalo ni tatizo maana kupata internet ya bei rahisi ambayo ndio 60k kwa mwezi uwe mjini, ukiwa mbali na mji... gharama ni mara mbili
 
Ufahamu bado uko mdogo, wa Tz wengi kununua kwenye website yenye payment gateway ya uhakika anaona anatapeliwa bora atume pesa kwa namba ya simu ya mtu aliemkuta Instagram kisa ana followers wengi, hapo ndio sielewagi😅
Wakitapeliwa utasikia biashara za mtandaoni ni utapeli hii ni changamoto kubwa sana jamii watu wenye uelewa ndogo kwenye online bisiness inatakiwa elimu itolewe watu waelewe hizi mambo watoke kwenye zama za giza.
 
Wakati huo nimeanza biashara nikaagiza bidhaa kutoka China ya 135,000/= tokea Feb 2021 mpaka leo haijafika.

Mimi na biashara ya mitandao HAPANA KWA KWELI.

Kwenye maisha yangu sikuwahi waza kama nilivyomjanja hivi na Mimi nitakuja kutapeliwa ila ndio hivyi online ikasepa na 135,000 yangu.

Ileile mashine nikaiona Tena kwenye page ya insta ya duka moja hivi, wakaanza "Lipa tukutumie mzigo" mi nikawajibu "Tumeni mzigo, ufike ndio nilipe" walituma mzigo ukafika ndio nikawatumia hela yao benki.

Mimi na pay then you deliver HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
 
Wakati huo nimeanza biashara nikaagiza bidhaa kutoka China ya 135,000/= tokea Feb 2021 mpaka leo haijafika.

Mimi na biashara ya mitandao HAPANA KWA KWELI.

Kwenye maisha yangu sikuwahi waza kama nilivyomjanja hivi na Mimi nitakuja kutapeliwa ila ndio hivyi online ikasepa na 135,000 yangu.

Ileile mashine nikaiona Tena kwenye page ya insta ya duka moja hivi, wakaanza "Lipa tukutumie mzigo" mi nikawajibu "Tumeni mzigo, ufike ndio nilipe" walituma mzigo ukafika ndio nikawatumia hela yao benki.

Mimi na pay then you deliver HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
nna maswali hiyo bidhaa uliyoagiza china ulilipa kwa kutumia mtu wa Instagram? au ulitumia website/App
 
Alibaba
Nikalipa na visa
Location nikaweka

Kifupi kila kitu kilikua poa, ila ndio sikupokea.

Yaani kwasasa, ukitaka hela yangu na bidhaa iwe mbele yangu.

#YNWA
Hapo lazima kuna mahala ulikosea, hata alibaba lazima uangalie supplier ana reviews ngapi, kawa verified etc

Hahah sema sawa kwa Africa wateja wengi wanataka huduma ya “Pay upon delivery”
 
Kuna factors zinazohusu tabia ya mteja wa kiafrica sioni mkizizungumzia. E-commerce haiwezi ku succeed sehemu ambayo muda hauna thamani.

Mteja wa kiafrica/tanzania ana "muda" wa kutoka kupanda daladala au usafiri wowote kwenda sehemu yoyote kufata bidhaa yoyote na kuzurura zurura popote.

Mtu kutoka mkoani kwenda Kariakoo/Uganda kufunga mzigo, Hivyo hivyo watu kwenda china kufunga mzigo wa milioni 10, huu kama sio upotevu wa muda ninini?

Miundombinu nayo ni sababu nyingine... Kutokuwepo na miundombinu ya haraka itayotoa mizigo toka sehemu moja kwenda nyingine.

Miundombinu pia inagusa suala zima la kutokuwepo kwa "Middleman" reliable atakayeprotect interest za mteja na muuzaji hasa katika swala la malipo.
 
Kuna factors zinazohusu tabia ya mteja wa kiafrica sioni mkizizungumzia. E-commerce haiwezi ku succeed sehemu ambayo muda hauna thamani.

Mteja wa kiafrica/tanzania ana "muda" wa kutoka kupanda daladala au usafiri wowote kwenda sehemu yoyote kufata bidhaa yoyote na kuzurura zurura popote.

Mtu kutoka mkoani kwenda Kariakoo/Uganda kufunga mzigo, Hivyo hivyo watu kwenda china kufunga mzigo wa milioni 10, huu kama sio upotevu wa muda ninini?

Miundombinu nayo ni sababu nyingine... Kutokuwepo na miundombinu ya haraka itayotoa mizigo toka sehemu moja kwenda nyingine.

Miundombinu pia inagusa suala zima la kutokuwepo kwa "Middleman" reliable atakayeprotect interest za mteja na muuzaji hasa katika swala la malipo.
Great insights ever, kuhusu hilo suala la kitoathamini mda sijawahi lifikiria, Ahsante kwa mtazamo wa kipekee.
 
Alibaba
Nikalipa na visa
Location nikaweka

Kifupi kila kitu kilikua poa, ila ndio sikupokea.

Yaani kwasasa, ukitaka hela yangu na bidhaa iwe mbele yangu.

#YNWA
Alibaba kule wanauza jumla tu wewe ungeenda aliexpress alibaba min oda ni pc 100-500 hiyo pesa yako pengine haukueleweka utaratibu upo hivi ukishaweka oda muuzaji atakuuliza unatumia kampuni gani ya usafirishaji ukiwapa detail wanakutumia kitu kingine kabla haujanunua mzigo u anaangalia maoni ya wateja wa muuzaji unayetaka kununua mzigo
 
Wakati huo nimeanza biashara nikaagiza bidhaa kutoka China ya 135,000/= tokea Feb 2021 mpaka leo haijafika.

Mimi na biashara ya mitandao HAPANA KWA KWELI.

Kwenye maisha yangu sikuwahi waza kama nilivyomjanja hivi na Mimi nitakuja kutapeliwa ila ndio hivyi online ikasepa na 135,000 yangu.

Ileile mashine nikaiona Tena kwenye page ya insta ya duka moja hivi, wakaanza "Lipa tukutumie mzigo" mi nikawajibu "Tumeni mzigo, ufike ndio nilipe" walituma mzigo ukafika ndio nikawatumia hela yao benki.

Mimi na pay then you deliver HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
Unachoongea kama ni kweli basi ulifanya biashara na watu wajinga hivi unaweza kuagiza mzigo aijalishi ni dukani au kiwandani Kisha unawatumia watu kwenye mitandao ili wakipokea mizigo wakulipe?
 
Kuna factors zinazohusu tabia ya mteja wa kiafrica sioni mkizizungumzia. E-commerce haiwezi ku succeed sehemu ambayo muda hauna thamani.

Mteja wa kiafrica/tanzania ana "muda" wa kutoka kupanda daladala au usafiri wowote kwenda sehemu yoyote kufata bidhaa yoyote na kuzurura zurura popote.

Mtu kutoka mkoani kwenda Kariakoo/Uganda kufunga mzigo, Hivyo hivyo watu kwenda china kufunga mzigo wa milioni 10, huu kama sio upotevu wa muda ninini?

Miundombinu nayo ni sababu nyingine... Kutokuwepo na miundombinu ya haraka itayotoa mizigo toka sehemu moja kwenda nyingine.

Miundombinu pia inagusa suala zima la kutokuwepo kwa "Middleman" reliable atakayeprotect interest za mteja na muuzaji hasa katika swala la malipo
Swala kutojali muda sina uhakika nalo sana matangazo yanayoonekana mtandaoni yanashawishi zaidi mteja kuinunua ile bidhaa

Mfano kama ni nguo au viatu tangazo linakuwa na modo anayekuonesha kama ni nguo inatakiwa inavaliwaje na nguo nyingine kwahiyo matangazo yanayoonekana mtandaoni yanashawishi zaidi mteja tofauti na pale mteja atakoamua kwenda kufuata nguo dukani


Shida kubwa nayoiona ni kupanda kwa gharama ya bando watu wanaoingia kutafuta bidhaa kwenye hizo store wamepungua Sana
 
Wakati huo nimeanza biashara nikaagiza bidhaa kutoka China ya 135,000/= tokea Feb 2021 mpaka leo haijafika.

Mimi na biashara ya mitandao HAPANA KWA KWELI.

Kwenye maisha yangu sikuwahi waza kama nilivyomjanja hivi na Mimi nitakuja kutapeliwa ila ndio hivyi online ikasepa na 135,000 yangu.

Ileile mashine nikaiona Tena kwenye page ya insta ya duka moja hivi, wakaanza "Lipa tukutumie mzigo" mi nikawajibu "Tumeni mzigo, ufike ndio nilipe" walituma mzigo ukafika ndio nikawatumia hela yao benki.

Mimi na pay then you deliver HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
Nilijua utazunguza Habari za insta watu wengi pamoja na wewe jifunze kitu kimoja

Online business sio
1.Instagram
2.Whstspp groups
3.Whspp stutas
4.Facebook groups
5.Facebook posts
Watu wengi wamekuwa wakitapeliwa kwenye hii hizi mitandao ya kijamii wakitoka uko wanalialia kwamba wameibiwa biashara za mtaoni haxifai

Ukimuliza pesa ulituma wapi ulipewa recept jibu lake ni hapana utasikia nilituma kwenye simu Jina likatoka Asha juma baada kupokea pesa akani block

Tunapoteza muda hapa hakuna online business kama hii

Platform ya online kuiebndesha ni gharama hakuna mtu anaweza kuanzisha online platform kwalengo la kutapeli watu

Pili platform ikiwa hosted uwezi tapeli zaidi ya watu wawili kwasabu maoni ya watu walotapeliwa uki Google hiyo platform yanakuja ya kwanza kabla kitu chochote

Kuna mtu alitapeliwa Facebook jamaa aliweka video watu wakishusha mzigo kutoka kwenye container wakiweka store Kisha kaweka picha freji jipya akaandika anakopesha

Hivi mtu anaweza kuagiza mzigo wake akalipia ushuru bila yeye kukopeshwa Kisha akaingia kwenye Facebook akatafuta watu wakuwakopesha?

Hana website wala Jina la bishara jamaa anajina moja fake na picha fake.
Jamaa alipigwaje tapeli alimwambia unalipa hela ya nauli tu nakutumia mzigo utalipa kila mwezi

Mnunuzi yuko mbeya muuzaji yuko Dar jamaa akatuma helfu 70 ya usafiri nakutapeliwa elfu 70 yake

Swali ni je yule bwana kama angetumiwa freji na mtu ambaye amjui angeweza kulipa hizo pesa kila mwezi kumlipa mtu asiemjua?

Hawa wote ni matapeli Sema walitofautiana karata moja ilikua na karata nyingi mwingine kidogo timing mbele akimuwai mwezie anamliza

Wakitoka huko wanasingizia online business kwamba ni mbaya sana haifai jamani tubadilike hii sio online business ni utapeli steleiti tujifunze kutofautisha online business na utapeli
 
Nilijua utazunguza Habari za insta watu wengi pamoja na wewe jifunze kitu kimoja

Online business sio
1.Instagram
2.Whstspp groups
3.Whspp stutas
4.Facebook groups
5.Facebook posts
Watu wengi wamekuwa wakitapeliwa kwenye hii hizi mitandao ya kijamii wakitoka uko wanalialia kwamba wameibiwa biashara za mtaoni haxifai

Ukimuliza pesa ulituma wapi ulipewa recept jibu lake ni hapana utasikia nilituma kwenye simu Jina likatoka Asha juma baada kupokea pesa akani block

Tunapoteza muda hapa hakuna online business kama hii

Platform ya online kuiebndesha ni gharama hakuna mtu anaweza kuanzisha online platform kwalengo la kutapeli watu

Pili platform ikiwa hosted uwezi tapeli zaidi ya watu wawili kwasabu maoni ya watu walotapeliwa uki Google hiyo platform yanakuja ya kwanza kabla kitu chochote

Kuna mtu alitapeliwa Facebook jamaa aliweka video watu wakishusha mzigo kutoka kwenye container wakiweka store Kisha kaweka picha freji jipya akaandika anakopesha

Hivi mtu anaweza kuagiza mzigo wake akalipia ushuru bila yeye kukopeshwa Kisha akaingia kwenye Facebook akatafuta watu wakuwakopesha?

Hana website wala Jina la bishara jamaa anajina moja fake na picha fake.
Jamaa alipigwaje tapeli alimwambia unalipa hela ya nauli tu nakutumia mzigo utalipa kila mwezi

Mnunuzi yuko mbeya muuzaji yuko Dar jamaa akatuma helfu 70 ya usafiri nakutapeliwa elfu 70 yake

Swali ni je yule bwana kama angetumiwa freji na mtu ambaye amjui angeweza kulipa hizo pesa kila mwezi kumlipa mtu asiemjua?

Hawa wote ni matapeli Sema walitofautiana karata moja ilikua na karata nyingi mwingine kidogo timing mbele akimuwai mwezie anamliza

Wakitoka huko wanasingizia online business kwamba ni mbaya sana haifai jamani tubadilike hii sio online business ni utapeli tujifunze kutofautisha online business na utapeli
Ukweli mtupu.
 
Nilijua utazunguza Habari za insta watu wengi pamoja na wewe jifunze kitu kimoja

Online business sio
1.Instagram
2.Whstspp groups
3.Whspp stutas
4.Facebook groups
5.Facebook posts
Watu wengi wamekuwa wakitapeliwa kwenye hii hizi mitandao ya kijamii wakitoka uko wanalialia kwamba wameibiwa biashara za mtaoni haxifai

Ukimuliza pesa ulituma wapi ulipewa recept jibu lake ni hapana utasikia nilituma kwenye simu Jina likatoka Asha juma baada kupokea pesa akani block

Tunapoteza muda hapa hakuna online business kama hii

Platform ya online kuiebndesha ni gharama hakuna mtu anaweza kuanzisha online platform kwalengo la kutapeli watu

Pili platform ikiwa hosted uwezi tapeli zaidi ya watu wawili kwasabu maoni ya watu walotapeliwa uki Google hiyo platform yanakuja ya kwanza kabla kitu chochote

Kuna mtu alitapeliwa Facebook jamaa aliweka video watu wakishusha mzigo kutoka kwenye container wakiweka store Kisha kaweka picha freji jipya akaandika anakopesha

Hivi mtu anaweza kuagiza mzigo wake akalipia ushuru bila yeye kukopeshwa Kisha akaingia kwenye Facebook akatafuta watu wakuwakopesha?

Hana website wala Jina la bishara jamaa anajina moja fake na picha fake.
Jamaa alipigwaje tapeli alimwambia unalipa hela ya nauli tu nakutumia mzigo utalipa kila mwezi

Mnunuzi yuko mbeya muuzaji yuko Dar jamaa akatuma helfu 70 ya usafiri nakutapeliwa elfu 70 yake

Swali ni je yule bwana kama angetumiwa freji na mtu ambaye amjui angeweza kulipa hizo pesa kila mwezi kumlipa mtu asiemjua?

Hawa wote ni matapeli Sema walitofautiana karata moja ilikua na karata nyingi mwingine kidogo timing mbele akimuwai mwezie anamliza

Wakitoka huko wanasingizia online business kwamba ni mbaya sana haifai jamani tubadilike hii sio online business ni utapeli steleiti tujifunze kutofautisha online business na utapeli

Nilitapeliwa na Mzungu ndani ya Alibaba.

Hiyo insta ni baada ya kutapeliwa Alibaba.

#YNWA
 
Unachoongea kama ni kweli basi ulifanya biashara na watu wajinga hivi unaweza kuagiza mzigo aijalishi ni dukani au kiwandani Kisha unawatumia watu kwenye mitandao ili wakipokea mizigo wakulipe?
Walituma mashine kwa jamaa yao wa mjini huku mkoani.
Nikaenda kwenye hilo duka la jamaa nikaiona mashine, hapohapo nikaenda Benki, nika-deposit then nikarudi na slip dukani nakusepa na mzigo wangu.

Ila sio eti nimtumie mtu pesa huku mzigo sijauona.

HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
 
Back
Top Bottom