Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,611
- 1,590
Hapa bongo Kuna utapeli mwingi sana hapa kwenye huu uzi tunazungumzia utapeli wa aina moja tu wa pesa
Kuna utapeli wa kuuziwa vitu vibovu ambavyo viko chini ya kiwango
Unaweza kwemda dukani au online kunanunua bidhaa kama nguo simu au laptop mpya au used fake
Ukifika nyumbani unaumiza kichwa tena na kuwaza kitu hicho ambacho tayari umeisha kinunua , kama ni simu unaanza tena kwenda kwa mafunfi kukolokocha
Wote utapeli
Kuna utapeli wa kuuziwa vitu vibovu ambavyo viko chini ya kiwango
Unaweza kwemda dukani au online kunanunua bidhaa kama nguo simu au laptop mpya au used fake
Ukifika nyumbani unaumiza kichwa tena na kuwaza kitu hicho ambacho tayari umeisha kinunua , kama ni simu unaanza tena kwenda kwa mafunfi kukolokocha
Wote utapeli