Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Naanza kuogopa na kuwashangaa wanaobeza mitandao ya kijamii na nguvu yake.
Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za CHADEMA, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno.
Tena tunaweza kusema mkubwa kuliko wa Rais aliye madarakani kwani yeye kuna vigezo vya mahudhurio yake;
1. Wasanii wanakundikwa.
2. Watu wanabebwa na malori.
3. Wafanyakazi wanalazimishwa kuwepo.
4. Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani.
5. Ushawishi maslahi unafanywa. Yaani chakula, vinywaji na tisheti.
Sasa hawa wa Lissu wanapashanaje habari kuwa bingwa kesho au kesho kutwa tunaye? CCM wanapaswa kujua mpango huo wa kuwanyima haki ya kutangazwa wamefeli mazima.
Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za CHADEMA, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno.
Tena tunaweza kusema mkubwa kuliko wa Rais aliye madarakani kwani yeye kuna vigezo vya mahudhurio yake;
1. Wasanii wanakundikwa.
2. Watu wanabebwa na malori.
3. Wafanyakazi wanalazimishwa kuwepo.
4. Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani.
5. Ushawishi maslahi unafanywa. Yaani chakula, vinywaji na tisheti.
Sasa hawa wa Lissu wanapashanaje habari kuwa bingwa kesho au kesho kutwa tunaye? CCM wanapaswa kujua mpango huo wa kuwanyima haki ya kutangazwa wamefeli mazima.