Uchaguzi 2020 TV na Redio hazitangazi ujio wa Lissu, lakini mbona watu ni wengi?

Uchaguzi 2020 TV na Redio hazitangazi ujio wa Lissu, lakini mbona watu ni wengi?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Naanza kuogopa na kuwashangaa wanaobeza mitandao ya kijamii na nguvu yake.

Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za CHADEMA, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno.

Tena tunaweza kusema mkubwa kuliko wa Rais aliye madarakani kwani yeye kuna vigezo vya mahudhurio yake;
1. Wasanii wanakundikwa.
2. Watu wanabebwa na malori.
3. Wafanyakazi wanalazimishwa kuwepo.
4. Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani.
5. Ushawishi maslahi unafanywa. Yaani chakula, vinywaji na tisheti.

Sasa hawa wa Lissu wanapashanaje habari kuwa bingwa kesho au kesho kutwa tunaye? CCM wanapaswa kujua mpango huo wa kuwanyima haki ya kutangazwa wamefeli mazima.
 
Kuna mgombea kazuia TV zote zimtangaze yeye, Radio zote yeye, Magazeti yote yaandike kuhusu yeye; wasanii wote waimbe nyimbo za kumsifu yeye tu - lakini cha ajabu nyomi kwa mgombea mwenzake haipungui ndiyo kwanza inazidi sasa anabakia kushangaa tu kwamba hawa watu wanapashanaje habari?
 
Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani😳?
Daah, Kuna thread nyingine, watu huwa mnaandika Kama vile mmekatwa vichwa, Sasa haya uliyoandika hapa ndo mashudu gani. ? 😂😂😂
 
Yaani mimi ningekuwa ndo Magufuli ningejitoa kwenye uchaguzi huu nikamwachia Lissu achukue kombe. Maana wananchi wanakera na wanatia hasira.

Magufuli salam zikufikie wananchi hawakutaki tena ondoka. Ushauri wangu kwa Magufuli bora ajiuzuru vinginevyo tutamtia aibu October 28. Chaguo la Watanzania wote ni Lissu
 
Yaani mimi ningekuwa ndo Magufuli ningejitoa kwenye uchaguzi huu nikamwachia Lissu achukue kombe. Maana wananchi wanakera na wanatia hasira.Magufuli salam zikufikie wananchi hawakutaki tena ondoka. Ushauri wangu kwa Magufuli bora ajiuzuru vinginevyo tutamtia aibu October 28. Chaguo la watanzania wote ni lissu.
[emoji23] [emoji23] Nyie ndio ambao baada ya oktoba mtabadirisha ID zenu humu
 
Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani😳?
Daah, Kuna thread nyingine, watu huwa mnaandika Kama vile mmekatwa vichwa, Sasa haya uliyoandika hapa ndo mashudu gani. ? 😂😂😂
Kwa kifupi shule zinafungwa, walimu na wanafunzi wanaamuliwa kwenda uwanjani kuongeza mahudhurio kwa mgombea urais na lanakuwa jambo la lazma
 
Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani[emoji15]?
Daah, Kuna thread nyingine, watu huwa mnaandika Kama vile mmekatwa vichwa, Sasa haya uliyoandika hapa ndo mashudu gani. ? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo kichwa chako kizito Kama furushi la mavi
Wanaambiwa wavue uniform wavae nguo za kawaida
 
Unamfahamu Mungu na Adamu na Hawa? Si Mungu aliwaambia Adamu na Hawa wasile tunda la mti wa ujuzi wa mema ba mabaya, lakini si waliishia kula? Unajua sababu Ni Nini?

SHAUKU. wazungu wanaiita curiosity.

Hata mimi, kabla ya kuanza kwa kampeni, ulikuwa huniambii lolote kuhusu Magufuli. Lakini tokea nione mambo ya mmoja wa wagombea kubaniwa, ilihali miaka ya nyuma(rejea Lowasa na Ukawa yake) wapinzani walikuwa wanatangazwa vizuri tu, tena walikuwa wanatukanwa matusi hasa.

Nimeishia kupata SHAUKU ya kwenda kumsikiliza Lisu ili nijue kwa nini anabaniwa hivi, na huenda akaniongoa kumfuata yeye.
 
Yaani mimi ningekuwa ndo Magufuli ningejitoa kwenye uchaguzi huu nikamwachia Lissu achukue kombe. Maana wananchi wanakera na wanatia hasira.Magufuli salam zikufikie wananchi hawakutaki tena ondoka. Ushauri wangu kwa Magufuli bora ajiuzuru vinginevyo tutamtia aibu October 28. Chaguo la watanzania wote ni Lissu
AMEN
 
Magari ya matngazo yanayozunguka kutangaza mkutano huyaoni au?
 
Kibaya Chajiuza Chema Chajitembe.. The reverse is true !!!!
Ili ikae sawa, ungesema hivi, kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza........

Hiyo ndiyo hali halisi ilivyo hivi sasa kati ya washindani hao wakuu wawili ambao ni CCM VS CHADEMA

Chadema ndiyo inayojiuza na CCM ndiyo inayojitembeza kwa nguvu ili ipendwe!
 
Back
Top Bottom