Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mgombea hajiamini kabisakuna mgombea kazuia TV zote zimtangaze yeye, Radio zote yeye, wasanii wote waimbe nyimbo za kumsifu yeye tu - lakini cha ajabu nyomi kwa mgombea mwenzake haipungui ndiyo kwanza inazidi sasa anabakia kushangaa tu kwamba hawa watu wanapashanaje habari??
Uzuri wenu nyeusi na nyeupe hamjui- Mwanasheria hawezi kuandika maneno hayo! Hiyo tweet umeitoa twitter angalia akaunti nyingine ambayo ni ya kwake kabisa Robert Amsterdam ina followers wengi- so you are referring to fake accountNi yeye wakala wa vibeberuView attachment 1575971
Tutumie picha za kigoma na Geita lei
Mwenzako nshaongoka tayari, moyo na akili zangu nshamkabidhi mnyaturuUnamfahamu Mungu na Adamu na Hawa? Si Mungu aliwaambia Adamu na Hawa wasile tunda la mti wa ujuzi wa mema ba mabaya, lakini si waliishia kula? Unajua sababu Ni Nini?
SHAUKU. wazungu wanaiita curiosity...
😀😀😀[emoji23] [emoji23] Nyie ndio ambao baada ya oktoba mtabadirisha ID zenu humu
Tulia dogo ili sindano ikuingie vizuriWanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani[emoji15]?
Daah, Kuna thread nyingine, watu huwa mnaandika Kama vile mmekatwa vichwa, Sasa haya uliyoandika hapa ndo mashudu gani. ? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂 Sindano zitawaingia masikni wanaobwatuka humu kwenye majukwaa ya Jf Kama wewe.Tulia dogo ili sindano ikuingie vizuri
Kwani CHADEMA hawaaliki wanachama waoNaanza kuogopa na kuwashangaa wanaobeza mitandao ya kijamii na nguvu yake.
Tundu Lissu na Chadema kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za Chadema, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno..
Na redio hizo hizo zitatumika kumtangaza mshindi wa kiti cha URAIS ambaye sio chaguo la wananchiNaanza kuogopa na kuwashangaa wanaobeza mitandao ya kijamii na nguvu yake.
Tundu Lissu na Chadema kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za Chadema, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno...
Wananchi wote ndo nini, unataka kumaanisha Wananchi wote wana vichinjio,yaani hata watoto nao wana vichinjio.Yaani mimi ningekuwa ndo Magufuli ningejitoa kwenye uchaguzi huu nikamwachia Lissu achukue kombe. Maana wananchi wanakera na wanatia hasira.Magufuli salam zikufikie wananchi hawakutaki tena ondoka. Ushauri wangu kwa Magufuli bora ajiuzuru vinginevyo tutamtia aibu October 28. Chaguo la watanzania wote ni Lissu
Wananchi wamepigika sana.Naanza kuogopa na kuwashangaa wanaobeza mitandao ya kijamii na nguvu yake.
Tundu Lissu na Chadema kwa ujumla imezibiwa kutangazwa na TV na Redio za nchi hii kueleza kwa ufasaha ratiba na Sera za Chadema, lakini jambo LA ajabu mwitikio kila mahali aendapo ni mkubwa mno...