TV ya Tajiri Mohammed Dewji yawashangaza wengi Mitandaoni, Watu wanadai eti ni ya bei poa

TV ya Tajiri Mohammed Dewji yawashangaza wengi Mitandaoni, Watu wanadai eti ni ya bei poa

Mimi ndio Mo mwenyewe, nyanyua mikono juu umshukuru bwana tayari amesikia hitajio lako, nitamtuma dereva wangu akufate uje tukeshe kama kote! nukta!
Mo kila kila wakati yuko busy na business deals, hana muda wa kuandika mambo mengi hivi.
 
Nasikia utajiri wake ni wamasharti...hata magari yake yanayosambaza biashara zake ni moshi mtupu na kelele kama bata vuzi...utajiri wa aina hyo una faida gn?
Utaendelea kusaga soli mpaka unaingia kaburini kwa hizi akili zako
 
Huyo jamaa anapandaga had bodaboda.kaaacha juz kat hapo baada ya kutekwa.huyo anakunywaga had kahawa zile za uswaz za sh 100 na kashata...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani lol
 
Back
Top Bottom