Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hapa waswahili wananipigia makelele tu utafikiri wao ndio watumiaji.Mie naona kawaida tu...iwe kubwa au ndogo poa tu
Ana mwili mzuri Sana aisee![emoji14]
Mo hayupo hivyoMimi ndio Mo mwenyewe, nyanyua mikono juu umshukuru bwana tayari amesikia hitajio lako, nitamtuma dereva wangu akufate uje tukeshe kama kote! nukta!
Mo yupo vipi?Mo hayupo hivyo
Je unajia nyumba zake zote ??Maskini ndio huhangaika na vitu vya kutafuta sifa. Warren Buffet tajiri namba nne duniani anakaa kwenye nyumba ya kawaida ambayo alikuwa anaishi tokea akiwa bado kapuku.
😀😀😀😀Hapo ni chooni kwake!
Yeye katengeneza mfumo watu wengine wanamfayia kazi,yaani hata asipoenda kwenye miradi yake kazi zinaenda tu na pesa zinaingia kama kawaMimi labda kitakachonishangaza anapata wapi muda wa kuangalia tv.
Mm tu Mwakatafuta Atupatipo sipati muda wa kutazama kwa sabb za ku hustle mpk time inakuwa haitoshi kukaa kuangalia tv,je yy mwenye mikampuni?
TV zote za Mohamed DewjiJe unajia nyumba zake zote ??
Kwa hiyo unataka watu wote tufanye kama yeye anavyoishi? 😠Maskini ndio huhangaika na vitu vya kutafuta sifa. Warren Buffet tajiri namba nne duniani anakaa kwenye nyumba ya kawaida ambayo alikuwa anaishi tokea akiwa bado kapuku.
Seconded[emoji106][emoji106] [emoji23][emoji23]Nanukuu..
Ukubwa wa sauti ya sabufa ..ndio ukubwa wa umaskini wa mmiliki..
Unasikia toka kwa Nani?Mimi nimeandika nasikia watu wanasema,,,umeelewa kiswahili vzr?kwahyo hata mleta MADA nae ni mlala hoi?jifunze kubalance mihemko mkuu,,,mtu anaposema nasikia watu wanasema,,, unaelewaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au chata la Bob Marley na 2pacUmeshawahi kuona range rover imepigwa machata kwenye vioo vyake? Lakini angalia vi passo na ist, utakuta kuna machata ya kichwa cha simba, mara viatu, nk.
Masikini tuna shida sana.
Kwa hao wanaoshangaa TV ya more... Na wengineo mitaaniUnasikia toka kwa Nani?
😀 😀 😀 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au chata la Bob Marley na 2pac