Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
That’s obviously!
Kwa pesa zake zile unaanzaje kuona dosari.?
Tunaoumia ni sisi, pesa hatuna na hata miili ya mvuto imegoma... mtuhurumie tu nasi tusimamie ukucha.
😄😄😄😄Nop mie sijaangalia kwa jicho la utajiri wake mkuu..sasa we account ikiraise Sana ni 2m lakini kitambi kikuuubwa😛😛!hahhaaa..huu mwichi hata beach unachetuka naye tu😋