Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah hii ni kweli kwa 100%.Nanukuu..
Ukubwa wa sauti ya sabufa ..ndio ukubwa wa umaskini wa mmiliki..
Yaani hiki ulichoandika hapa wanyonge/ma jobless tukiona tunafurahi mpk tunalala usingizi mnono kama vile itatusaidia na sisi kutoboa kwny maisha.Nasikia utajiri wake ni wamasharti...hata magari yake yanayosambaza biashara zake ni moshi mtupu na kelele kama bata vuzi...utajiri wa aina hyo una faida gn?
Akili ya biashara hiyo, wakati we unacheka vigari vyake vinapiga kelele ye anapata faida kubwa kwa kupunguza gharama za uzarishaji.Nasikia utajiri wake ni wamasharti...hata magari yake yanayosambaza biashara zake ni moshi mtupu na kelele kama bata vuzi...utajiri wa aina hyo una faida gn?
Acha kabisaYaani hiki ulichoandika hapa wanyonge/ma jobless tukiona tunafurahi mpk tunalala usingizi mnono kama vile itatusaidia na sisi kutoboa kwny maisha.
Kwani haionyeshi ?Tatizo una television ya dola 2000 wakati bank hata mia hauna.
Akili ya biashara hiyo, wakati we unacheka vigari vyake vinapiga kelele ye anapata faida kubwa kwa kupunguza gharama za uzarishaji.
Yaani hiki ulichoandika hapa wanyonge/ma jobless tukiona tunafurahi mpk tunalala usingizi mnono kama vile itatusaidia na sisi kutoboa kwny maisha.
Kimapenzi..yuko romantic...hachoshi...hachushi!..kukesha Kama kote!nukta!Wa kufanyaje tena 🤔
Naona umeona uachane na mada uanze mambo ya kuchojoana.
Ana mwili mzuri Sana aisee![emoji14]