permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Mo kila kila wakati yuko busy na business deals, hana muda wa kuandika mambo mengi hivi.Mimi ndio Mo mwenyewe, nyanyua mikono juu umshukuru bwana tayari amesikia hitajio lako, nitamtuma dereva wangu akufate uje tukeshe kama kote! nukta!
Nadhani ni ushamba waoKilichowashangaza hapo ni nini?
Utaendelea kusaga soli mpaka unaingia kaburini kwa hizi akili zakoNasikia utajiri wake ni wamasharti...hata magari yake yanayosambaza biashara zake ni moshi mtupu na kelele kama bata vuzi...utajiri wa aina hyo una faida gn?
PambanaUtajiri ni ujinga, masharti kibao.... aarghrrr!!!
Kama walivyosaga soli wazazi wako,,,kabla yako,,,na utaendelea kusaga soli baada yao...pimbi weeUtaendelea kusaga soli mpaka unaingia kaburini kwa hizi akili zako
Kweli bro inabid watuhurumieThat’s obviously!
Kwa pesa zake zile unaanzaje kuona dosari.?
Tunaoumia ni sisi, pesa hatuna na hata miili ya mvuto imegoma... mtuhurumie tu nasi tusimamie ukucha.