TWAWEZA: Asilimia 67 ya watanzania wanakubali kwamba tozo ni njia muhimu ya serikali kupata mapato

Utafiti huo ni fake,sisi Watanzania 99.9% tunakubaliana na tozo kwa maendeleo ya Nchi.
Tena iongezwe kwa asilimia mia tano kabisa ili viongozi wetu na wateule wa Rais waishi kama malaika na sisi tuishi kama vibwengo
 
Kuna utafiti pia uliwwahi kusema, katika watanzania idadi kadhaa kuna machizi kadhaa, ni vyema wakatueleza hawa 67% wapo upande.
 
Hawa jamaa wajinga sana, washanyooka tayari. Wanahangaika kutengeneza fakes wakati wananajua original results zipo kwenye tovuti ya Twaweza.

Wapuuzi tu hawa.
 
Unahoji ccm tu alafu unakuja ujinga hapa jf , hivi Janvi hili mnafikili Kuna vilaza ,? Jf imejaa watu Makin ,wenye busara na kitu, hamjiulizi why ina watu laki tano au sita? Ni KWa sababu wengi wanaliogopa jukwaa hili, utaandika ujinga insta,facebook, sijui wapi, ila sio jf, Kama ni mgeni kaa chini na tafakari upya hii ni jf
 
Watanzania gani hao waliohojiwa wakatoa majibu hayo?
Uhalisia wa wananchi juu hizi tozo uko wazi kabisa yakwamba hatuzitaki.
 
Tozo ni muhimu kwa ustawi wa taifa letu!
 
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, hence Wananchi.
 
Wamekosea

Labda Kama asilimia HIZO ni wale tunataka katiba MPYA!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
Wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe. Nonsense
 
Hii TWAWEZA si ndio walisemaga uchaguzi wa 2020 ulikua wa huru na haki? Kwa aliyeona uchaguzi ule atakua na muda na TWAWEZA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ