Tweet hii ya Prof. Mwandosya inanifanya nimkumbuke Ben Saanane

Tweet hii ya Prof. Mwandosya inanifanya nimkumbuke Ben Saanane

Kibongo bongo katika matendo na tabia hua nashindwa kuona tofauti ya phd holder na muhuni yeyote aliempiga mwalim akafukuzwa shule akiwa form 3.
 

Attachments

  • kumbushodawson_20211224_073807_0.mp4
    2.4 MB
Unasoma rundo la mafaili wizarani, unapokea simu, unahudhuria vikao nk.wakati huohuo unasoma literature kuhusu tasnifu yako. Unafikiria kukaa mbele ya maprofesa kudifend.
Kwa nini wanasoma wakiwa mawaziri na kama hili halipunguzi ufanisi wa kazi ya uwaziri ni kweli,?
Kufanya utafiti ngazi ya PhD si jambo lelemama na hii ndio hoja ya Mwandosya.
Mimi kama rais nakupa kazi uwajibike100% halafu unagawa tena muda wangu.
Why, why...
 

Za JK siyo za UDOM wala jalalani pekee mjomba:

President of Tanzania receives Honorary Doctorate from UON

JK awarded another doctorate

IMG_20211224_083457_771.jpg
 
Back
Top Bottom