Uchaguzi 2020 Tweet ya Mbowe tayari ni uchochezi, Vyombo vya Dola vimshuhulikie

Kwa hiyo tuyaache mabeberu yatupangie lakufanya!
 
Mtu akisoma comment anagunduwa tuu akili yako
Acha kushikwa akili wewe popoma,jadili hoja!Hii ni JF na pole sana kama umekosea kulog in ukijua unaingia FB!
Akili za kuvukia barabara usizilete hapa!
 
Acha kushikwa akili wewe popoma,jadili hoja!Hii ni JF na pole sana kama umekosea kulog in ukijua unaingia FB!
Akili za kuvukia barabara usizilete hapa!
Mie nakuuliza Kuna hoja gani umeandika hapo? ,,Nungependa kujua age yako na Elimu yako plz
 

Yaani nyie kila kitu ni uchochezi dah
Hao watu wanaochochewa si ndio wale walikuwa wanashangaa treni moshi?

So mnahofu ya nn wakati mnajua Watu hawatachochewa kufanya chochote
 
Acha kutisha watu we zumbukuku
 
Huwezi kuwa na Masters , labda Kama ni ya chupi,,huwezi kujenga pumba na ujinga Kama huo ukasema unamasters labda Kama uliipata kwa chupi
Ndio nasema,usidhani kufeli kwako kimaisha basi kila mtu yuko hivyo!Utapata stress buree!
 
Hivi kwani kuna mtu kasema watamkata Lissu?

Mbona hawa kina Mbowe wanajishtukia sana?
Mkuu akina Mbowe wamekulia ikulu is not like you uliyeanza kuvaa viatu baada ya kuja Dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…