NAPITA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,077
- 2,246
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
Zitto yeye anadai tujiandae kisaikolojia kuvunjika kwa Muungano!
Zitto yeye anadai tujiandae kisaikolojia kuvunjika kwa Muungano!