Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Status
Not open for further replies.
ha ha ha huyo kijana kanywa gongo mboni anaongea kama ajielewi nyambavu
 
Ccm kwa kukariri sijui nani aliwapa hilo wazo la serikali 2. Kwani ni ndoa ya serikali ngapi ambayo inatufanya tuendelee kutaabika! Au kwa kuwa ukizaliwa na mwana siasa maarufu wa ndani ya sisiemu tayar wewe mbunge au utamiliki NGO au kitengo fulani serikalini.
Angekomaa mwenyewe bila kubebwa na mzee wake angekuwa wapi?
Mbunge tena waziri!!!!!! Daaaaah kweli ma sisisemu wana mpango madhubuti
 
kwa hyo kauli yake eti ana taka uraisi angeshirikisha hata ubongo kidogo kajidhalilisha bora angenyamaza
 
Kweli binadamu tuna uelewa tofauti, yaani maelezo yote ya mzee Warioba tena maelezo ya kina tena pamoja na historia mzima ya huu muungano, yaani Makamba anatoa huu -----? Hama kweli akili ni nywele..
 
Huyu na MM lao ni moja, kibaya wanashika nafasi zinazowapambanua kama 'viongozi wa kitaifa'
 
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.

Kwa busara hizi za Makamba Jr., Inaelekea Tanganyika ndiyo mke tunaebembeleza tusiachwe. Kwanza tumepoteza jina la ukoo, pili tunabaki kulalamika kuongezewa mwenza. Huyu kijana anamajibu rahisi/yakitoto kwenye issue concrete.
 
Eti huyu naye mgombea Urais wa CCM , maneno ya hovyo hovyo kama Sophia Simba ......eti matatizo ya Ndoa .....Sophia alisema wanyimeni uroda .......mawazo yake ni ya kingonongono tuu.....aibu kubwa hii....

Mkuu umenichekesha sana.
 
Kwanza awaombe radhi wazanzibari.anataka kusema zanzibar ni mke halafu mke wa pili anayetakiwa ni tanganyika? huo ni upeo mdogo wa kufikiri kwa mtu ambaye ni naibu waziri.
 
Huyu jamaa naye anataka urais ?. akili mbovu kama Baba yake.
Baba hana akili nilijua mtoto atakuwa na akili kumbe mbulula.sindiyo mtoto alisema watz wengi wana line nyingi za mitandao ya simu.kuliko matundu ya choo ya nchi nzima.!
 
"kwani ndio kweli haiwezekani tukaachana kwa wema na ikhsani? kwenye Uislam ndio mafunzo yetu ikiwa ndoa haifanyi kazi tena, japo sijaelewa hapa nani mume na nani mke"
Wewe mbulula hawazungumzii uislamu.
 
Kwa hiyo Wazanzibar ndio wake zetu...tunataka tuendelee na wanawake wanaotubania???Wacheni tupumue
 
Warioba he is very right on problem AND very wrong on solution!!!!
 
So Mr Makamba Jr huo ndiyo mchango wako kwa siku ya leo kwenye suala gumu la kitaifa kama hili si ndiyo?No wonder our country is heading down the cliff fast.With nutcases like Makamba Jr on the key positions of the government then we are doomed!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom