Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka Kieleweke mbona unataka kunivunja mbavu mwenzio?! Kwa kwa kwa kwa kwa kwa.View attachment 145634Like a father like a son......Mtu huyu aweza kuzaa mwenye tofauti naye ki akili na kimtazamo kweli? DNA zingekataa , so mtoto kama baba tu..
Kwa makosa yote ya mtu, sidhani kama mtu anakatazwa kuwa na mawazo yake binafsi. Pia sidhani kama mtu unaweza kufanya comparison analysis kwenye twitter.
Huyo jamaa amekuwa Zuzu sana.amesahau ana wakilisha wananchi.Nafikiri ameanza kazi rasmi ccm "A" au ccm "B"
Kwa makosa yote ya mtu, sidhani kama mtu anakatazwa kuwa na mawazo yake binafsi. Pia sidhani kama mtu unaweza kufanya comparison analysis kwenye twitter.
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
Anataka kumpa mkewe TALAKA?Hajui mke mzuri ukimuacha halafu umuone Barabarani na MUME mwingine?Hakuna haja ya kumuacha ila inabidi umpe tu UHURU anaohitaji ili NDOA iwe na manufaa kwa pande zote mbili.
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
Ameonyesha dalili za kushindwa na kukosa suluhisho .................... hiyo ni mbaya sana kwa kiongozi tena anayejidai ana sifa za kuwa Rais!!
Huyo jamaa amekuwa Zuzu sana.amesahau ana wakilisha wananchi.Nafikiri ameanza kazi rasmi ccm "A" au ccm "B"
Kwa mtazamo huo huo pia hakuna mtu anayekatazwa ku-challenge mawazo ya mtu mwingine hata kama ni binafsi. Ukishatoa mawazo yako hadharani ujue umeshatoa nafasi kwa watu wengine questioning of its truth or value!
This guys is coward and kwa kweli amenikera sana, iinaonekana sasa ni shabiki wala hajui hata umhimu wa tafiti zinazofanywa; nilitegemea a comparison analysis of live and dying union government, ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, zitto mtu hovyo kabisa, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti?
Maelezo ya warioba kiukweli ni opportunity kubwa sana tena yenye suluhisho
Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"