WILSONDIOXIDE
Member
- Oct 20, 2012
- 32
- 2
anajipendekeza ili asamehewe adhabu aliyopewa na viongozi wake wa chama kuhusu kuanza kampeni mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
View attachment 145652
yoote yaliyozungumzwa na jaji warioba comments za mheshimiwa naibu waziri zinalinganisha yaliyosemwa na unyumba!!!!!sad!
Ccm ni mabingwa wa unafiki, wachumia tumbo wakubwa hawa. Hawajajua kama katiba wanayo tunga sii yao. Mtu kama Kingunge anakula pension ya umri. Bado anasinzia bungeni anatunga katiba.Ccm wameshaanzq
He he he, panapofuka moshi...???
Afu sisiemu bana, wangewa-control hawa watotot wao walowabeba na vitwit vyao. Huyu hajui tu, ila kwa watu makini ni kuwa kauza ramani ya vita. Akchwale kasema kile mabosi zake wanachoamini na wanachokitaka.
Sasa, walio upande mwingine wa shilingi washindwe wao, washaanza kuomba PO kiaina.
Akyamama, hakuna kitu kibaya kama mwanmme mwoga na asiye na kifua cha kutunza mambo. Kama ni vitani na mie ni kamanda lazima nikuweka chambo, mbafu kabisa.
Halafu ndo anataka uraisi!!?Akili zake ndo zimeishia hapo...
Kwa hiyo ana maana kuwa matatizo ya ndoa ukae nayo mpaka mke akutoe roho , huyu kijana punguani
- Ndoa ambayo mke anataka kuishi kwao na mume hana kauli na hilo?
- Mke hataki kuachia ubini wa kwao pasi na kuchukua wa mume?
- Mke anayetaka mshahara wake ale yeye na wa mumewe wale wote?
Mie nildhani watu wanaovaa miwani ni wasomi,nimeenda kijijini juzi nikamkuta babu amenunua miwani kwa wamachinga nikamuuliza kulikoni,akadai nayeye anataka aonekane kasoma. January na babu yangu lao moja.Kwa hiyo ana maana kuwa matatizo ya ndoa ukae nayo mpaka mke akutoe roho , huyu kijana punguani
Huyu dogo hajawahi Kuwa na akili hata siku moja