Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Status
Not open for further replies.
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
Ndoa hii ni ya wake watau tayari, ila huyu wa tatu amefichwa nyumba kubwa. Matatizo yapo kwa sababu ya kufichwa huku. Inabidi aibuliwe na isemwe wazi kuwa yupo, na atambuliwe ili kuondoa hisia mbaya na huyu mume atimize wajibu wake kwa usawa!
 
Kwani muungano hauvunjiki?

Serikali 3 zitavunja muungano na tanganyika yetu itarudi
mnakomalia muungano wenye matobo matobo wa nini?

Siku muungano ukivunjika nita fanya sherehe
 
This guys is coward and kwa kweli amenikera sana, iinaonekana sasa ni shabiki wala hajui hata umhimu wa tafiti zinazofanywa; nilitegemea a comparison analysis of live and dying union government, ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, zitto mtu hovyo kabisa, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti?

Maelezo ya warioba kiukweli ni opportunity kubwa sana tena yenye suluhisho

Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"

Hivyo wewe unadhani ni mzima kweli. Bado unahitaji psychologist. Kumlaumu mtu kwa mawazo yake tena kwenye TWITTER nina mashaka na uelewa wako; period
 
Warioba , kaenda kuwasilisha maoni ya wananchi , sasa wale wanaomlaumu mlitaka awasilishe maoni yenu ninyi viongozi pekee? Kwanini mnamsingizia Warioba ? Au haitaki mawazo ya wananchi ambao kutwa kuchwa mnadai kuwawakilisha ?
 
Kwa m$iofahamu juu ya huyo joka jeu$i(zitto kabwe),ni kwamba amekuwa chini ya uangalizi na hawa jamaa waTI$$ ambao wame$hirikiana na nchemba na wa$ira kuwa wamemfanyia mpango kuwa atakuwa mfanyakazi ndani ya hiyo idara nyeti ila yy akibakia kuwa mwana$ia$a na ndo maana wamempatia fedha kuanzi$ha ACT lengo ni kuvuruga watu waupinza na ndo maana hata $a$a ana$hindwa ku$imamia ukweli wa hoja.kama hii aliyoitweeti,najiuluza $wali kwanini mtu akiwa ndani ya CCM na akili yake inapungua?mara baada ya kuanza kutumiwa!!kwa$a$a hata mju$i anaakili kupita ZZK.

Daah, una akili nyingi weweeh! hasa apo uliposema mtu akiwa c....c...m uwezo WA kufikiri unafifia sanaaaaaa!!!!!
tehtetehh, tatzo la akili za matumbo na kuiba tuuu!
 
Kwani muungano hauvunjiki?

Serikali 3 zitavunja muungano na tanganyika yetu itarudi
mnakomalia muungano wenye matobo matobo wa nini?

Siku muungano ukivunjika nita fanya sherehe

Hujamuelewa mtoa mada...Msome tena huku ukiwa umetulia...Wacha papara..
 
Anwary ni mjinga , kama a nafikiri wingi ni silaha. Ghadafi asingeondoka madarakani, kama a nafikiri namba ni kila kitu hata hii katiba was ingekuwa wanajadiliana leo......wanatumia namba kwenye ukumbi watakosa namba nje ya ukumbi....
 
ameonyesha matatizo ya ndoa na ameshauri wanandoa wasibanane kupita kiasi ili ndoa ipumue,ndio itadumu. Mume gani kila siku unachunguza simu ya mkeo? Haujiamini au?. Warioba ni kichwa. Nadhani kwa sasa ukitoka uwezo wa Nyerere kuchanganua mambo na kujiamini,anafuata Mzee Warioba. Wengine wote ni waoga na wanafki.

haswaa mzee msema kweli
 
Warioba , kaenda kuwasilisha maoni ya wananchi , sasa wale wanaomlaumu mlitaka awasilishe maoni yenu ninyi viongozi pekee? Kwanini mnamsingizia Warioba ? Au haitaki mawazo ya wananchi ambao kutwa kuchwa mnadai kuwawakilisha ?

Tumuulize Zitto hili swali..
 
Rightly So...., una haki ya kuongelea na ku-challenge kila kitu ila kumuita mtu msaliti na coward sababu mawazo yake, yanayokukera ni kuingilia uhuru wa mawazo ya mtu

Vijana wengi hawafahamu matumizi sahihi ya open forums au public forums.....Imebaki matusi,kejeli na mizaha. Kutokukubaliana na maoni ya mtu hakumfanyi aliyetoa maoni kuwa ni msaliti au mjinga. Watu wajifunze kujadili hoja na sio kujadili watu
 
vijana wenzangu tuwe macho sana na hawa wazee hili swala usiingie kichwakichwa matokeo ya serikali mbili au tatu yatalifaidisha kundi mojawapo ndani ya ccm na sio wewe wala ndugu yako, CCM imegawanyika mara mbili kuna wa serikali 2 na tatu kwa maslahi bnafsi. cha msingi tuconcetrate na na maswala muhimu kwenye katiba yetu kama afya, miundombinu, elimu na malazi. katiba inasema nini juu ya haya, hata wao wakiamua nchi iongozwe na jaji mkuu au spika hayo ni yao wanasiasa.

Umechemka mkuu ili suala haliepukiki, afya , miundombinu ,elimu hautavifanyia mbinguni,...ni apa tanzania ndani ya serikali moja, mbili, tatu au nne...wahsauri vijana wenzio tuache yooooooote kwanza tukubaliane tunatawaliwaje. Baada ya apo ndo tujue je utawala ndani ya muundo wowote tutakaokubali unaimarishaje elimu, afya , miundo mbinu!!! Tutendee haki fikra na elimu zetu!!
 
Ndoa ikivurugika mnagawana mbao na kama kuna watoto mnaweka utaratibu wa custody.

Huyu January anapata wapi ujasiri wa kumkejeli Warioba? kati yake na Warioba nani anajua vema Muungano?
Shida ya mitoto iliyokulia kwenye kuamka na kula bila kujifikirisha , hakumsikia Warioba aliposema kuwa Waasisi walituachia nchi moja yenye serikali mbili na sio nchi mbili? Hakuelewa hata hilo lilikuwa na maana gani? He is completely lost ......naona anajipa I eti watatu mia wingi wao kupitisha serikali mbili hakujua kuwa hawana 2/3 Bara na visiwani ? Au hesabu amefeli mpaka za kugawanya !
 
ZZK ni mtu wakutaka $ifa $a$a watu wameku$tukia kuwa wewe mwongo mkubwa tena wewe ndo mhafidhina wa kwanza katika wana$ia$a wote tz,endelea kuwadanganya wabembe,wabwali na baadhi ya waha,$i$i kwetu nyooooo!!kamwe!
 
January atuambie nani ni mke na nani ni mume na ndoa ilikuwa lini?
 
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.

Ee Mwenyezi Mungu tusaidie. Hivi hawa vijana wenzetu wa Taifa la Tanzania waliopewa dhamana wamelishwa nini hadi kuvurugwa kiasi hiki? January Makamba analinaganisha mfumo wa utawala wa nchi na ndoa? Halafu huyo huyo anataka 2015 tumwamini kumpa uongozi mkubwa wa nchi huku akwa hajtmbui kiasihicho? Nadhani kuna laana inayopita katika Taifa hili kwa sasa ambayo inahitaji mombei makubwa kuivunja. Laana hii inatokana na Wanasiasa kuamini ushirikina kiasi kwamba ushauri wa kitalaam kama wa Tume ya Warioba hauzingatiwi bali wanazingatia ushauri wa Wanajimu wao. Wazee kama akina Warioba kwa huruma ya Mwenyezi Mungu wanastahili kuongezewa miaka mingi katika maisha yao hadi hapo vijana watakapojitambua. Facts za Warioba na ushahidi wote wa upuuzi ambao Halmashauri Kuu ya Chama tawala walioufanya wa kuiruhusu Zanziba kuvunja Katiba ya Muungano bila kuwakemea bado wanakuja watu na makelele ya mfano wa ndoa. Shame on you January Makamba.
 
Baba hana akili nilijua mtoto atakuwa na akili kumbe mbulula.sindiyo mtoto alisema watz wengi wana line nyingi za mitandao ya simu.kuliko matundu ya choo ya nchi nzima.!

mtoto nyoka ni nyoka mkuu hawezi kuwa mjusi.
 
Like father like son!!! Hana point kichwani. Kwanza atupe cheti chake cha secondary wakati alifeli!!!! Alienda fanya reseat wapi? Mburura tu huyu. Eti unaorodhesha matatizo ya mke halafu unataka uongeze mwingine!! Shit. Hivi anafikiri masuala sensitive ya Muungano analinganisha na mambo ya kitandani!!! Mswahili bwana. Watu tunapasua vichwa kuona ni jinsi gani harmony itapatikana halafu mnaleta mzaha hapa. Kichwa cha mwendawazimu.
 
Du!! Kumbe kuna mke na mume ktk maswala ya mungano?? Basi kama ndiyo hivyo ndoa imekuwa na mgogoro kupendekeza kuwa na serikali tatu ni sawa na kwenda kwa Baba paroko kusuluhisha....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom