Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu January badala ya kutoa solution analeta maneno ya kanga halafu eti anataka kuwa RAIS shame on him anadhani Tume ilikurupuka kufikia uamuzi huo pia anatakiwa ajue Ndoa ya muke na mume si sawa na Ndoa ya kuunganisha sehemu mbili kimantiki kuwa na serikali tatu haifanani na kuongeza mke wa tatu .....SHAME ON YOU JANUARY.
we watukane tu lakini mwishoni tutaweza kupima ni nani mwenye akili timamu kati yako na wao.Kwa mtu mwenye akili timamu tuu ndie anayeweza kutambuwa kuwa kuwa na Serikali tatu ni kupelekea kivunjika kwa muungano, kwanza historia ya muungano huu na umri wake sasa umekuwa na umri mkubwa miaka zaidi ya hamsini , muunganiko au muingiliano wa jamii zetu yaani makabila pia Vyama .....
Kwa hiyo Zitto anapingana na makala yake moja, tena ya mwaka huu, akiunga mkono serikali 3?
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
This guys is coward and kwa kweli amenikera sana, iinaonekana sasa ni shabiki wala hajui hata umhimu wa tafiti zinazofanywa; nilitegemea a comparison analysis of live and dying union government, ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, zitto mtu hovyo kabisa, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti?
Maelezo ya warioba kiukweli ni opportunity kubwa sana tena yenye suluhisho
Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"