mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 186
Nakuunga mkono, ninatamani sana huu muungano dhaifu wa kulazimishiwa na Nyerere uvunjike then kama ni kuungana tena ipigwe kura wananchi tuamue sio watu wawili watulazimishe kuunganaKwani muungano hauvunjiki?
Serikali 3 zitavunja muungano na tanganyika yetu itarudi
mnakomalia muungano wenye matobo matobo wa nini?
Siku muungano ukivunjika nita fanya sherehe
Wazanzibari warangi, wadini, wakabila, wabinafsi, wachoyo, washari, wavivu