Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba

Status
Not open for further replies.
CCM wanachoogopa ni kwamba,
Tanganyika(CHADEMA)+
Zanzibar(CUF)= Muungano( Magamba kupoteza ulaji.)

Nahisi Hicho Ndicho Kipo Akilini Kwa Wanasiasa Including Chadema.....Sidhani Kama Watu Wana Uchungu Na Tanganyika Au Muungano.......
 
Haya ndio maoni ya mtu anayejinadi kuwa anataka kuwa ''Rais'' wa nchi!! Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona....Yaani tume kwa umahiri mkubwa sana imekuja na hoja za kina na kupangua madongo yoootee yaliyokuwa yakirushwa na wale wenye uchu wa madaraka (wakati hata uwezo wa kuongoza wengine hawana na wengine wanatembelea majina ya baba zao), tena yale ambayo wengine walikuwa wanahangaika kama kuku anayetaka kutaga ili kuyaficha yasisemwe (ukweli mchungu eeh??) halafu mtu anakuja na majibu rahisi kwamba ni malalamiko tuu....
 
Waumini wa serkali tatu mmekuwa na mahaba nivunjevunje sana.......Waumini wa muungano wamekuwa too rigid sana.....There's more to this.
 
NANI atakuwa mmiliki wa serikali ya TATU? Nani yuko tayari kuwa Gorbachev wetu?
Kwa nini Jaji Warioba na Tume yake hawakusema wazi kuwa kulikuwa na UDHAIFU wa wazi katika KUILINDA na KUITETEA Katiba iliyopo?
 
This guys is coward and ....... ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, zitto mtu hovyo kabisa, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti?

Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"

Umeshambulia kwa maneno makali sana, embu soma alichosema kwa upana Face Book hapa

Serikali 3 sasa sio suala la mjadala tena. It is fait accompli. Mjadala ni namna ya kuboresha muundo huo ili Jamhuri ya Muungano idumu na iwe endelevu.

Watanzania tunalipa kwa uzembe wa kupuuzia malalamiko ya wananchi kuhusu muungano. Kama tunaamini Zanzibar walivunja katiba ya muungano kwa nini hatukupeleka shauri mahakama ya maalumu ya Katiba.
Tabia ya kufunika uchafu chini ya kapeti ndio imepelekea mlolongo wa kero za muungano. Wale wale waliokuwa na dhamana ya kutatua kero hizi Leo wanataka tubakie na mfumo wa sasa.
Tuelekeze nguvu na akili zetu kuimarisha muundo uliopo kwenye rasimu ya Katiba. Mjadala wa muundo tuufunge. Mbili na Moja hazipo kwenye mjadala tena. Tuimarishe Tatu
 
Nadhani warioba ameeleza kwa kirefu na mwenye akili timamu atakuwa ameelewa ni kitu gani kilichopelekea tume kupendekeza muundo nchi moja serikali tatu
 
Kwa hiyo Zitto anapingana na makala yake moja, tena ya mwaka huu, akiunga mkono serikali 3?


Sijaiona hiyo makala lkn kama ipo basi sababu itakuwa hela na maslahi binafsi, kugeuka kunakuwa kwa kufikia tu.

Hebu mwenye nayo aiweke hapa.
 
Angesema tutajenga hoja za msingi kuulinda muungano,sasa anaongelea uwingi wa kupiga kura!
 
This guys is coward and kwa kweli amenikera sana, iinaonekana sasa ni shabiki wala hajui hata umhimu wa tafiti zinazofanywa; nilitegemea a comparison analysis of live and dying union government, ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti? Maelezo ya warioba kiukweli ni opportunity kubwa sana tena yenye suluhisho Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"
wengine twishaga musahau!
 
Ina maana ccm ni wengi kuliko watz mil 45 kweli makamba ana kamasi kwenye ubongo!
 
Deo Corleone: tusaidie kuweka ushahidi wa post ya jamaa hapa (angalu screen print) ili tuzijue mbichi na mbivu, kumsingizia si jambo jema.
 
Nchi MBILI serikali TATU itakuwaje?

Itakuwa hivi: 1) Jamuhuri ya Tanganyika 2) Jamuhuri watu wa Zanzibar
1) Serikali ya Tanganyika 2) Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

********** Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
A) Zanzibar tayari wamekwisha anza manake wana Katiba, Raisi, Bunge, Bendera, Wimbo wa Taifa etc.
B) Serikali ya Muungano ndo hii katiba yake inayoundwa
C) Tanganyika bado haina Katiba, Raisi, Bunge,Bendera wala wimbo wa Taifa
Sema kingine ambacho huelewi
 
January Makamba @
JMakamba
6h
Kyaruzi CCM itatumia wingi wake
Bungeni na mandate ya uchaguzi
kuulinda Muungano na kuilinda nchi
tuliyoiasisi na kuijenga. @
absakibanda
View conversation ·
January Makamba @
JMakamba
6h
patNanyaro Lol, good one!
View conversation ·
January Makamba @
JMakamba
6h
patNanyaro wanasiasa wa
mitandaoni wamepigiwa kura na nani?
Na wanawawakisha kina nani na wapi?
View conversation ·
January Makamba @
JMakamba
6h
“@absakibanda: JMakamba you are
right. I personally disown The Warioba
Commission”>>>Dark day for
Tanzania, for unity, for Pan-
Africanism.
View conversation ·
January Makamba @
JMakamba
6h
JulzMsoka What's being proposed is
not a movement towards greater
closeness but towards apartness. @
absakibanda
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi nadhani hujamuelewa Zitto Kabwe, na umefanya vibaya sana kuanzisha thread ambayo inamshambulia na kuwafanya wasomaji wawe biased na kumshambulia serious. Zitto anakubaliana na hoja za Warioba siku nyingi, Zitto Kabwe ameunga mkono hoja ya serikali 3 wazi wazi, nilichoelewa kwenye tweet yake ni kwamba anaona kuwa solution ya Muungano ni serikali Tatu lakini wajumbe wengi wa bunge la Katiba hawapo tayari kuchukua solution iliyopendekezwa na Jaji Warioba. Kwa hiyo kama wajumbe wa Bunge la katiba hawatapokea na kupitisha rasimu ya katiba kama ilivyopendekezwa na Tume ya warioba maana yake Muundo wowote wa serikali/Muungano utapelekea kufa kwa Muungano. Hivyo kama tutatoka na serikali mbili kama CCM wanavyotaka au Moja kama ambavyo wachache walipendekeza Basi anachokiona Zitto Kabwe ni kuwa Muungano utavunjika, hivyo anachotuambia ni kuwa tujiandae kisaikolojia kuona Muungano unavunjika, Sasa kashfa zote anazopewa zinatokana na nini Kiongozi???? nadhani Hukuuruhusu ubongo wako ujishughurishe zaidi ya kujenga conclusion kutoka na imani zako za nyuma, SIO VIZURI HIVYO mkuu tujitahidi wakati fulani kureason in professional way

Kaka nimekubali sana maneno yako, wajua watu humu ndani wana muhemko wa kitikadi, hivyo mara nyingine wanakuwa hawafanyi uchunguzi wa kutosha, kwa maelezo yako ndio hasa zzk alicho kuwa anamaanisha kwa kuwa wakati, Jaji Warioba anatoa mapendekezo ya muundo wa serekali 3, ilipo fika swala la uraia mmoja niliona wajumbe wengi hasa wa zanzibar walipiga kelele na Jaji aliweka msisitizo kuwa urai lazima uwe mmoja na haki ya kila raia iwe sawa eneo
Lolote la jamuhuri ya muungano ambalo hili watu wa zanzibar hawataki kisikia kama mtu toka tanganyika anaweza kuhodhi aridhi, au kugombea madaraka kule zanzibar. Jaji alisema kwenye muundo wa serekali tatu ni lazima hivi vitekelezwe ili kuleta mshikamano wa muungano na hapo ndio inakuja hoja ya zzk kuwa kama wazanzibari wao hawata afiki muundo huo wa serekali tatu na hayo mapendekezo ya muundo huo then hakuna haja ya kuwa na muungano
 
Wewe utakuwa bavicha yani una mtukana mtu kisa katoa mawazo tofuti na ya kwako?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom