Watu mbona wanapiga kazi saa 11 asubuhi wapo barabarani mpka saa4 za usiku 😀
Maisha ya waafrika yanatia hasira sana mkuu, kuna wakati mtu unaona kuzaliwa afrika tu ni hasara kubwa mno, halafu mbaya zaidi ukiyaambia ukweli hayataki kukubali kutwa kuitupia lawama serikali tuMwafrika hasa mtanzania anataka apige kazi masaa nane tena hayo bado anaona ni mengi,
Awahi kutoka kazini apitie baa amwagilie moyo na nyama choma huku akibishana simba na yanga.
Wanawake wanataka wawahi kutoka kazini wapitie saluni wakajirembe huku wakipiga soga na umbea.
Halafu jumapili wakajazane makanisani wakipayuka kama mbayuwayu kumuomba Mungu wapate mafanikio.
Hawa ndio waafrika..!!
Ndio hivyo kiongozi watu wanajaribu kuhangaika kutwa nzima mfumo umewatupaHizo sio kazi mkuu ni mishemishe.
Hahahhaaaaa bongo unasikia ana 25 huyoo bado mdogo 😀Wachache mno kaka...halaf weng mpaka wajipate waanza hyo michakato ni umri mkubwa..ila huku watu wanaanza michakato mapema 16yrs ni kawaida kukuta madogo wanapiga kaz mahal...had unakaa nao unawapa history yako unaona aibu..kiukwel ngoz nyeus inabid tubadilike...na hawachagui kaz
Huku endeleeni kulaumu Samia na kuombewa mpate miujizaYaani tusijidanganye hata siku moja.
Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..
Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku
Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.
Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.
Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10
Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100
Ni hayo tu wadau, tupambane. sana
Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Kule kwa wenzetu unakuta kitoto cha miaka 16 kinalilia emancipation toka kwa wazazi wake, wenyewe wanaita sweet 16 hawasubiri wafike miaka 18 eti ndio wajione wakubwa, huku kwetu eti kijana wa miaka 30 anajiona mtoto yani yeye anajiona bado hajafikia umri wa kuanzisha familia wala kuwa tajiriNi aibu kaka..huku speed ya hawa watu inatisha..unakuta kitoto miaka 16 kishafanya kaz shamban.supermaket etc..yaan
Unajua inachangiwa na utamadunNa hawachagui sana..huku kukuta mtoto maisha mazur home..anapiga kaz ya kibarua supermaket ni kawaida .yaan level ya kuona noma hawana hawa watu..kila mtu na maisha yake
My uko poa lknSafi
True for 100 percent.Yaani tusijidanganye hata siku moja.
Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..
Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku
Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.
Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.
Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10
Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100
Ni hayo tu wadau, tupambane. sana
Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
True, unakuta mtu anatimiza miaka 27 bado anasoma tu lkn msomi huyo huyo ukimleta .mtaani hawezi kubadilisha elimu yake kuleta manufaa kwake . Neno kubwa kinywani mwake "mm Nina digili".Tunapoteza muda sana na elimu yetu yenye tija ndogo..tunapoteza sana muda shule..
Wao wana maisha yao nasi tuna yetu,,, kwahiyo tusiwaze sana kikubwa tuchape kaziKule kwa wenzetu unakuta kitoto cha miaka 16 kinalilia emancipation toka kwa wazazi wake, wenyewe wanaita sweet 16 hawasubiri wafike miaka 18 eti ndio wajione wakubwa, huku kwetu eti kijana wa miaka 30 anajiona mtoto yani yeye anajiona bado hajafikia umri wa kuanzisha familia wala kuwa tajiri
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Waafrika ni wavivu mno, ila ni majizi balaa.
Niko Njema Kabisa Etugrul BeyYeah
Unajua inachangiwa na utamadun
My uko poa lkn
Huyu mdau amekurupuka tu, kama ange-dig deep aisee angewaonea huruma hawa wafanyakazi.Ujutume kwa bakhresa alafu unapewa 4000 a u Silas kule mkwanja mrefu ndo maana wakimbizana na muda kila lisaa ni pesa kwao ila huku umbuzi mwingi......ukija na mada kama hii umatakiwa uweke na scale za misharaaa bosa
Mkuu tukiendelea kuwa na mentality ya aina hii basi tusahau kuhusu maendeleo, yani kama hadi leo kijana akipata pesa kidogo tu anawaza ngono ambayo anajua kuipata lazima ahonge hicho kipato chake kidogo alichokitafuta kwa taabu, basi bado tuna safari ndefu sana maana mtu hadi aje afikie umri wa kutulia na kuachana na kurukaruka na wanawake na kuwaza maendeleo basi atakuwa tayari kashafikia uzeeni hukoWao wana maisha yao nasi tuna yetu,,, kwahiyo tusiwaze sana kikubwa tuchape kazi
Nimeipenda hiiKAzi nikipimo cha utu,hata bongo wakianzsa kulipa kwa saa watu watakesha wsnapiga kaz
Nafurahi kusikia hivyo,,, uwe na usiku mwemaNiko Njema Kabisa Etugrul Bey
Na kwako pia....Mwenyezi Mungu akulindeNafurahi kusikia hivyo,,, uwe na usiku mwema