Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

Unaongelea efficiency; effectiveness au kupiga kazi ? Kwamba waafrica ni wazee wa kukaa vijwieni ? Nadhani pitia madesa yako upya.... Hard work does not Necessary Pay; Especially hii dunia ya Kilaghai...

1713202660144.png
 
Kazi inatakiwa ulipwe, sasa kubeba kuni za kupikia nyumbani kwako nani atakulipa?
Kwahio kazi ni kazi iwapo ina ujira ? Kwahio sio kwamba kule ni wachapa kazi bali kuna ajira zenye ujira wa kutosha kuliko huku.....

Kati yako wewe mwenye hekari mia moja kule kijijini uliyeajiri watu wanaolima asubuhi mpaka jioni na kuwalipa ujira huku unakunywa gahawa ni nani mchapa kazi ?

Ndio maana nikasema labda ungesema wapo effective na efficient lakini sio necessarily they work harder - Inawezekana workdone ni kubwa zaidi lakini haimaanishi (jitihada inayowekwa ni necessarily kubwa zaidi); Africa kinachotu-cost zaidi ni marginalization sio necessarily being lazy... Watu Tunao Shida ni Siasa Chafu na Uongozi Mbovu.... Bila kusahau faulo za Developed Countries...
 
Nadhan wenzetu nafasi za kazi zipo nyingi sana kutokana na viwanda ni vingi, ndio maana mtu anaweza kufanya kazi hata tatu kwa siku na analipwa kwa masaa

Kwahiyo wana kila sababu ya kupiga kazi sana
Hata wanaolipwa Million bongo wavivu tu, watu wapo ofisi kubwa wanapiga pesa nyingi ila hawajitumi
 
 
Kwahio kazi ni kazi iwapo ina ujira ? Kwahio sio kwamba kule ni wachapa kazi bali kuna ajira zenye ujira wa kutosha kuliko huku.....

Kati yako wewe mwenye hekari mia moja kule kijijini uliyeajiri watu wanaolima asubuhi mpaka jioni na kuwalipa ujira huku unakunywa gahawa ni nani mchapa kazi ?

Ndio maana nikasema labda ungesema wapo effective na efficiently lakini sio necessarily they work harder - Inawezekana workdone ni kubwa zaidi lakini haimaanishi (jitihada inayowekwa ni necessarily kubwa zaidi); Africa kinachotu-cost zaidi ni marginalization sio necessarily being lazy... Watu Tunao Shida ni Siasa Chafu na Uongozi Mbovu.... Bila kusahau faulo za Developed Countries...
Kaka unabisha nin sasa..huku hata shehem za kaz efficiency ya mtu mweusi na mweupe ni tofaut .we huon weusi america kila siku wanalaumiwa ,sio watu wa mida .kaz hafifu..uvivu etc .unafkiri wamasingiziwa..tunayashuhudia kila siku...tuna maguvu ila tunapenda sana kupumzika na kula bata
 
Kaka unabisha nin sasa..huku hata shehem za kaz efficiency ya mtu mweusi na mweupe ni tofaut .we huon weusi america kila siku wanalaumiwa ,sio watu wa mida .kaz hafifu..uvivu etc .unafkiri wamasingiziwa..tunayashuhudia kila siku...tuna maguvu ila tunapenda sana kupumzika na kula bata
Unaongelea Black Americans zao ambalo mababu zao wametumikishwa wamekua kwa kutokuamini system na kuelewa kwamba system ni against them ? Wana chuki na hawana uzalendo na hio nchi (na ni kweli mababu zao hawakupewa a level playing field) Unataka kuniambia mababu zao kwenye cotton plantations walikuwa wavivu au wale wanyampara waliowafanyisha kazi ndio walikuwa wavivu...

Hata huku ni kweli watu waliopo kwenye sehemu za huduma au kwenye kazi na mashirika sio wawajibikaji ila huwezi kuniambia watembeza mihogo, karanga na peasants kule kijijini wanaolima from dusk till dawn na wengine ndio wanatulisha kwa kutumia nyenzo hafifu ni wavivu...

Unless wewe ni Nigerian (Una sifa za wizi) kuna kipindi agents ughaibuni wakiona unatokea Tanzania wanakupigia simu za kazi kibao sababu wanajua unachapa kazi na mpaka mtu atoke huku afike kule lazima atapiga kazi sababu ana malengo yake..., Na vijana au watu kama wewe wa Taifa la huko wanakuwa na uvivu na kila siku ku-phone in sick au kila Jtatu kusingizia wanaumwa sababu ya Hangover...

Kwa Ufupi naomba pitia huu uzi alafu uje tuendelee huenda tunahitaji kuweka premises ya tunachokiongelea...;

 
Yaani tusijidanganye hata siku moja.

Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..

Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku

Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.

Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.

Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10

Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100

Ni hayo tu wadau, tupambane. sana

Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Wanajituma katika kufanya kazi, kwa sababu wanalipwa vizuri. Mwajiri asipokujali, hata ile bidii ya kufanya kazi, inakata. Maana ukikaa unawaza utatokaje kwenye lindi la umasikini
 
Tatizo la mwafrika anataka kufanya biashara peke yake na kuajiri watu wawili au3 maisha yote
Ni nadra sana kuona weusi 20 wameajiri watu 1000
Tatizo ni kutokuaminiana
Watu badala wachape kazi wanawaza kuiba tu
Tofauti na wenzetu ambapo mzungu anaweza akakuambia simamia kazi na ukafanya kama mali yako bila hiyana kwa sababu una wote ni wamoja na kampuni inajiendesha hata kama boss akiwa hayupo

Huku manager anafanya kazi na kuajiri na kufukuza ila mbongo ataitwa majina kibao ooh kiherehere au anajipendekeza
Thamani ya hela pia zinapishana kwa hiyo labda wizi huko unachangia kwa hilo lakini sio umasikini ukufanye uwe mwizi bali ni hulka ya mtu.

Kuna watu hawana kitu na kuiba mwiko
Ubinafsi naona ni mwingi kwa mweusi na kutokuaminiana pia
 
Yaani tusijidanganye hata siku moja.

Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..

Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku

Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.

Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.

Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10

Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100

Ni hayo tu wadau, tupambane. sana

Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Video iko wapi? Vijana mkishapata Vi scholarship vya mabeberu mkaenda huko mnatuona wajinga.
 
Nadhan wenzetu nafasi za kazi zipo nyingi sana kutokana na viwanda ni vingi, ndio maana mtu anaweza kufanya kazi hata tatu kwa siku na analipwa kwa masaa

Kwahiyo wana kila sababu ya kupiga kazi sana
Hata sisi tunaweza:
1. Fungua viwanda vyote Na taasisi zote24/7 tuwe 24/7 ecomomy... tatizo liko wapi?

2. Hakuna mtu kulipwa cash Bali bank ndio zinakuwa TRA

3. Kila mtanzania mwenye 18 yrs Na kuendelea anakuwa Na NiNo- national insurance number ili aichangiye Na kukusanya mapato ya uzeeni

4. Serikali itapike fedha Na ihojiwe inazifanyia nini maana banking system au mobile money ndio tra yetu..

Lazima tutoboe tu... kazi zipo Ila bado tuko fofofo tunaendeleza mijadala ya ngona siku za mvua..
 
Tatizo la mwafrika anataka kufanya biashara peke yake na kuajiri watu wawili au3 maisha yote
Ni nadra sana kuona weusi 20 wameajiri watu 1000
Tatizo ni kutokuaminiana
Watu badala wachape kazi wanawaza kuiba tu
Tofauti na wenzetu ambapo mzungu anaweza akakuambia simamia kazi na ukafanya kama mali yako bila hiyana kwa sababu una wote ni wamoja na kampuni inajiendesha hata kama boss akiwa hayupo

Huku manager anafanya kazi na kuajiri na kufukuza ila mbongo ataitwa majina kibao ooh kiherehere au anajipendekeza
Thamani ya hela pia zinapishana kwa hiyo labda wizi huko unachangia kwa hilo lakini sio umasikini ukufanye uwe mwizi bali ni hulka ya mtu.

Kuna watu hawana kitu na kuiba mwiko
Ubinafsi naona ni mwingi kwa mweusi na kutokuaminiana pia
Hili la kukosa uaminifu linatugharimu sana kama taifa. Yaani leo hii uwe na unaishi dar halafu uwe na biashara mbeya ni jambo ambalo haliwezekani kibongobongo
 
Nakumbuka wakati nipo ugaibuni nilikuwa nalala almost kama masaa matatu tu basi out of 24 hours.

I remember nilikuwa naweza kuingiza hela ya kibongo by then like 4 million Tsh na hapo nimeshakatwa Kodi Yao 36%.
Yaani unapiga box huku unasoma. Kuna muda unajiuliza hivi nimekuja huku kusoma au kupiga box?

Namshukuru Mungu niliyofanya kwa umri wangu nisingeweza kufanya hata kama after retirement still nisingekuwa na uwezo kufanya.
Tukipata fursa ya kwenda ugaibuni Ili ufanikiwe inatakiwa ujitume na kuwekwa show off pembeni.
Kwa Sasa nawinda Green Card ya Mmarekani ili nikapotelee huko and I will come back after achieving my goal!
Tuendelee kupambana na maisha na kupunguza kuhonga hawa kausha damu wasio na shukrani
 
Back
Top Bottom