Hao viongozi wabovu waliopo Afrika wametoka wapi???We ni mjinga sana
Mfano timu ya france ina waafrika asilimia kubwa lakin wanadeliver
Waafrika wale wale wanaochezea timu ya france walete afrika watafeli
Tatizo la afrika ni mifumo mibovu na uongozu mbovu
Mafanikio yeyote yamefungwa kwenye uongozi imara na mifumo imara
Kitu lingine nilichojifunza kwa hawa wenzetu wazungu wanavyokuja Afrika ni watu wanaozingatia bajeti sana hata awe na pesa nyingi huwezi kukuta anafanya matumizi ya hivyo au kumpa ofa mtu bila sababu za msingiMuafrika ana error kwenye gene yake. Kupenda starehe kuliko kazi. Wakati wenzetu wanaluwa drived na kazi then starehe. Is why wanapiga hatua sisi tukibakia kulalamika?
Coffee kaka..mchawi coffee..mim siwez ingia shift huku bila coffee..siwez toboaEhee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu?
Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa.
Je, hao watu wanatumia nini?
Hata Japan kuna muda serikali ilianzisha kampeni kuwafukuza watu maofisini wakalale mana wengine walikuwa wanalala saa 3 tu badala ya saa nane za kiafya.
Hii sio sababu, watu wanalipwa 5M hii bongo na bado kazi tia maji tia maji tuHawa wenzetu lazima wapige kazi... Mifumo Yao ipo Bora sana... Sasa angalia mtu unaenda kazini nyumbani hapaeleweki, mishahara tiatia maji. Mtoto akiumwa unapandwa na kizunguzungu, bima huduma hazieleweki. Ulaya ni Ulaya tu, huduma za kijamii, mishahara bonus plus fairness acha tu. Lazima upige kazi
Turudi nyuma twende mbele, au twende nyuma tu.Yaani tusijidanganye hata siku moja.
Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..
Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku
Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.
Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.
Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10
Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100
Ni hayo tu wadau, tupambane. sana
Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Mkuu!Ehee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu?
Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa.
Je, hao watu wanatumia nini?
Hata Japan kuna muda serikali ilianzisha kampeni kuwafukuza watu maofisini wakalale mana wengine walikuwa wanalala saa 3 tu badala ya saa nane za kiafya.
Kina mangi hawapo huko?Umenikumbusha Tanga,ule mji hapana aisee..yani majitu ni mavivu hatari..kwanza maduka yanafunguliwa saa 4 asubuhi,saa 7 wanafunga kwenda misikitini kuswali,saa 8 wanaenda nyumbani kulala kidogo,saa 10 wanafungua tena,saa 12 wanafunga..akimmiss mke wake kidogo pia anafunga kwenda kumuona..nilishangaa maisha ya wale watu
Mdau umeongea ukweli wote.Mwafrika hasa mtanzania anataka apige kazi masaa nane tena hayo bado anaona ni mengi,
Awahi kutoka kazini apitie baa amwagilie moyo na nyama choma huku akibishana simba na yanga.
Wanawake wanataka wawahi kutoka kazini wapitie saluni wakajirembe huku wakipiga soga na umbea.
Halafu jumapili wakajazane makanisani wakipayuka kama mbayuwayu kumuomba Mungu wapate mafanikio.
Hawa ndio waafrika..!!
Upo ulaya nchi gani mkuuNa hawachagui sana..huku kukuta mtoto maisha mazur home..anapiga kaz ya kibarua supermaket ni kawaida .yaan level ya kuona noma hawana hawa watu..kila mtu na maisha yake
Unafikiri huyo mwalimu afanye kazi mpk siku za jumamosi hadi jumapili na afundishe mpk saa 1 usiku na wanafunzi wote wapate dvn 1.Mbunge analipwa mafao kila baada ya miaka 5 na si 10.Hapo kwa walimu , hiyo 500k ni secondary lakini primary wanakula hadi 350k.
Maisha lazima ule bata. Angalia mifano ya matajiri wanavyoishi kila wikiend wanatoka na familia kula bata. Angalia matumizi yao kwa siku.Mdau umeongea ukweli wote.
Ila ndio hivyo malipo yetu pia ni kiduchu ujue
Sasa kwa saa analipwa let say dollar 50 kwanini usikomae masaa 15 utakua umechota dollars ngapiNdio aisee, huko mtu kupiga kazi masaa 15 kwa siku kawaida, na wanajituma haswaaaa
Akiumia kazini analipwaTatizo malipo mkuu.
Hata mm natamani sana kuchapa kazi day & night ila shida kazi haiendani na malipo, utajiumiza mwisho hiyo akiba kiduchu uitumie kujitibu.
Hao wenzetu washaseti mifumo mizuri ya kumwezesha mfanyakazi kutopata shida ndogondogo hasa akiwa mchapakazi.