Uchaguzi 2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

Uchaguzi 2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

Mheshimiwa upo vizur nafkiri maswala ya fund yalikua hayajakaa sawa ndio maana umeshindwa kufanya vzur katika kampen zako. Ila ile barua inayosemekana uliindikia tume kujitoa na huku tunaona press zako kuwa utafunga goli dk za mwisho ukiwa upo siriaz umetuchanganya.
 
Jiandae kutupiwa virago baada ya uchaguzi. Ni heri ungekaa bila chama, kuliko kwenda kudhalilishwa na watoto wako huko kwenye chama cha msaliti.
 
Naanza kuamini kuwa kweli Membe katumwa na zimwi ccm kuhadaa upinzani!!@
)&#^$😡^£;'tomof hfgfcvcuuyf&%#%
 
Kwanini hiki kipaji chako cha uchekeshaji hukukiendeleza blaza? Bill Cosby angekuwa cha mtoto
 
Karibu jukwaani Mzee, ila sisi kura zetu ni kwa Mzalendo wa kweli Magufuli.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wewe akili yako nadhani unaijua mwenyewe tu, hakuna mwingine anayekuelewa unachokifanya si wale wa Chama tawala ama wale wa upinzani
 
Kuanzia mfumo wa vyama vimgi uanze sijawahi kuona mgombea mwenye mituko kama huyu jamaa
 
Back
Top Bottom