Uchaguzi wa CHADEMA unafanyika mapema mwaka ujao. Mimi nawasihi Wana CHADEMA twende na Tundu Lissu tuachane na Viongozi wanaoendekeza RUSHWA ndani ya Chama.
Tundu Lissu atakijenga Chama chenye weledi pasipokuwa na harufu ya Rushwa. Kama mgombea wa Nafasi ya Makamu Mwenyekiti ametajwa hadharani na Lissu kuwa anahusishwa na rushwa huyo mgombea kwa namna yeyote ile hawezi kuwa mwadilifu.
Twendeni na Lissu ili Chama kiwe imara.
Tundu Lissu atakijenga Chama chenye weledi pasipokuwa na harufu ya Rushwa. Kama mgombea wa Nafasi ya Makamu Mwenyekiti ametajwa hadharani na Lissu kuwa anahusishwa na rushwa huyo mgombea kwa namna yeyote ile hawezi kuwa mwadilifu.
Twendeni na Lissu ili Chama kiwe imara.