Wanatuharibia jukwaaHata mimi nilikua najiuliza muda huu, hivi wadau wa hili jukwaa la michezo tumekosea wapi kiasi cha kuruhusu watu wenye hulka za aina ya mtoa mada kujimilikisha hili jukwaa!
Kuna yule mwenzake mwingine yule! Anaitwa nani sijui!! Wakija na mada zai humu, unashindwa kuelewa kama tuko jukwaa la Wambea na Mashangingi ya mjini, au jukwaa pendwa la michezo!
NBC (ABSA) ?Leo NBC (ABSA) ime trend sana.
Nitakuwepo hapa siku ya confirmation ya hii habari NI LAZIMA WEWE NA MA THOMASO WENGINE MNIOMBE MSAMAHA kama jukwa linaharibika kwa ku post ujinga wa utopwinyo then let it be, washapewa twiga mweusi na theluji ya kijaniWanatuharibia jukwaa
>Tunahitaji kanuni zifuatwe.
Ukitaka kujua peleka logo au jezi ya kijani na njano uone kama itabarikiwa msimbazi !!
Ukipata jibu uje uwalaumu Yanga
Vodacom walielewa na walibadiliaha tinaamini na NBC watakuwa waelewaK A N U N I.
Kanuni ya 16 (1)(4).
Nembo ya Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu itawekwa kwa rangi zake halisi ktk mkono tu wa kulia kwenye sare za timu za kuchezea, na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yote ya Ligi Kuu.
Kanuni sio Sheria, kwenye mpira wetu sisi Yanga ndio kanuni na ndio mpira wenyewe sio Tff, Tff wameikuta Yanga kwenye mpira.K A N U N I.
Kanuni ya 16 (1)(4).
Nembo ya Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu itawekwa kwa rangi zake halisi ktk mkono tu wa kulia kwenye sare za timu za kuchezea, na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yote ya Ligi Kuu.
Mbona hukuwadharau voda na ukute line yao unayoNimewadharau NBC kama ni kweli
Wewe endelea na uprofessional wako, Yanga walisha kua professional kabla ya neno lenyewe professional.Veeeeeerrrrrry unprofessional kuanzia yanga mpaka nbc. CRDB wasingekubali utopolo kama huu
Hawa ni wa hapa hapa tu mkuu.Siku wakiktaaa kuvaa hii kwenye CAF nitawaona kweli wana msimamo hawa wabaki kuwonea vodacom Tz na Nbc wajaribu kuleta fyokofyoko kwa CAF kwamba TOTAL wabadilishe maandishi ya rangi nyekundu..HALAFU RANGI YA KIJANI NA NJANO KWENYE LOGO HUWA INATUMIWA NA WAKULIMA WA MAHINDI AU WANAOKOBOA MAHINDI AU WATU WA MAZINGIRA ,MAKAMPUNI SERIOUS NI BLUE ,RED AND WHITE
View attachment 1965325
Ukitoa mzee manara na kikwete wanaobaki utopolo woooote hawajawahi kujielewa. sio maneno yangu ni ya semaji lenu la duniaWewe endelea na uprofessional wako, Yanga walisha kua professional kabla ya neno lenyewe professional.
NBC (ABSA) ?
Hizi ni bank mbili tofauti
Nadhani upo sahihi kuna kitu nimegundua kuhusu hiloABSA ana majority shares NBC
Absa banki na NBC ni kitu kimoja.Huu ubavu wa NBC kudhamini ligi umetoka wapi maana naona hawapo kiushindani sana kama benki nyingine za ndani interms of kufungua matawi mengi na uwakala kama.benki zingine. Wao matawi yamebaki yale yale hayaongezeki kuna baadhi ya miji hawapo
Nani kakudanganya kuwa kuna hela itatoka afrika kusini kuja kudhamini ligi ya nbc ? Uendeshaji wa matawi ya makampuni unapewa mtaji wa kuanzia tuu, ukitaka kuamini Barclay ilishindwa kufanya lolote bongo lakini huko ulaya inadhamini ligi kubwaAbsa banki na NBC ni kitu kimoja.