Twiga kwenye jezi ya Yanga atakuwa mweusi mlima wa kijani

Twiga kwenye jezi ya Yanga atakuwa mweusi mlima wa kijani

Hata mimi nilikua najiuliza muda huu, hivi wadau wa hili jukwaa la michezo tumekosea wapi kiasi cha kuruhusu watu wenye hulka za aina ya mtoa mada kujimilikisha hili jukwaa!

Kuna yule mwenzake mwingine yule! Anaitwa nani sijui!! Wakija na mada zai humu, unashindwa kuelewa kama tuko jukwaa la Wambea na Mashangingi ya mjini, au jukwaa pendwa la michezo!
Wanatuharibia jukwaa
 
Wanatuharibia jukwaa
Nitakuwepo hapa siku ya confirmation ya hii habari NI LAZIMA WEWE NA MA THOMASO WENGINE MNIOMBE MSAMAHA kama jukwa linaharibika kwa ku post ujinga wa utopwinyo then let it be, washapewa twiga mweusi na theluji ya kijani
 
K A N U N I.
Kanuni ya 16 (1)(4).
Nembo ya Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu itawekwa kwa rangi zake halisi ktk mkono tu wa kulia kwenye sare za timu za kuchezea, na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yote ya Ligi Kuu.
>Tunahitaji kanuni zifuatwe.
 
K A N U N I.
Kanuni ya 16 (1)(4).
Nembo ya Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu itawekwa kwa rangi zake halisi ktk mkono tu wa kulia kwenye sare za timu za kuchezea, na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yote ya Ligi Kuu.
Vodacom walielewa na walibadiliaha tinaamini na NBC watakuwa waelewa
 
K A N U N I.
Kanuni ya 16 (1)(4).
Nembo ya Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu itawekwa kwa rangi zake halisi ktk mkono tu wa kulia kwenye sare za timu za kuchezea, na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yote ya Ligi Kuu.
Kanuni sio Sheria, kwenye mpira wetu sisi Yanga ndio kanuni na ndio mpira wenyewe sio Tff, Tff wameikuta Yanga kwenye mpira.
 
Veeeeeerrrrrry unprofessional kuanzia yanga mpaka nbc. CRDB wasingekubali utopolo kama huu
Wewe endelea na uprofessional wako, Yanga walisha kua professional kabla ya neno lenyewe professional.
 
Siku wakiktaaa kuvaa hii kwenye CAF nitawaona kweli wana msimamo hawa wabaki kuwonea vodacom Tz na Nbc wajaribu kuleta fyokofyoko kwa CAF kwamba TOTAL wabadilishe maandishi ya rangi nyekundu..HALAFU RANGI YA KIJANI NA NJANO KWENYE LOGO HUWA INATUMIWA NA WAKULIMA WA MAHINDI AU WANAOKOBOA MAHINDI AU WATU WA MAZINGIRA ,MAKAMPUNI SERIOUS NI BLUE ,RED AND WHITE
View attachment 1965325
Hawa ni wa hapa hapa tu mkuu.
 
Huu ubavu wa NBC kudhamini ligi umetoka wapi maana naona hawapo kiushindani sana kama benki nyingine za ndani interms of kufungua matawi mengi na uwakala kama.benki zingine. Wao matawi yamebaki yale yale hayaongezeki kuna baadhi ya miji hawapo
 
Huu ubavu wa NBC kudhamini ligi umetoka wapi maana naona hawapo kiushindani sana kama benki nyingine za ndani interms of kufungua matawi mengi na uwakala kama.benki zingine. Wao matawi yamebaki yale yale hayaongezeki kuna baadhi ya miji hawapo
Absa banki na NBC ni kitu kimoja.
 
Absa banki na NBC ni kitu kimoja.
Nani kakudanganya kuwa kuna hela itatoka afrika kusini kuja kudhamini ligi ya nbc ? Uendeshaji wa matawi ya makampuni unapewa mtaji wa kuanzia tuu, ukitaka kuamini Barclay ilishindwa kufanya lolote bongo lakini huko ulaya inadhamini ligi kubwa
 
Back
Top Bottom