Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hesabu hazijatosheleza. 90% haikubaliIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Na J2 nitakua kanisani nikisema MNIOMBEEEEEEEEEEEE.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kazi gani majizi tuIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Tusaidie kumwambia basi asiue sisimizi kwa nyundo. Inawezekana yeye haoni kama unavyoona wewe. Hebu msaidie arelax basi atufungulie mitandao.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kaka watu huwa wanahack system za NEC kipindi hiki cha uchaguzi. 2015 watu waliingilia mtandao wa NEC kwahiyo kujihadhari ni vizuriIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Nyie mliopanaga watu wamwage damu nanyi muwe mnasogea ili yenu imwagike.Na J2 nitakua kanisani nikisema MNIOMBEEEEEEEEEEEE.
Wewe huwa unatetea sanaa kila kitu afanyacho Magu sasa hata trailer halijaanza ushaanza lialia kuzima mitandao ni mojawapo ya kazi za JPM viva Magufuli binya hawa ccm wenzio mpaka wapate akili hawa na bado mitano yenu mbele hiyo ishafika utapiga sana mayowe hapa kazi tuIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
✓Kwakuwa Zanzibar wanaishi waduduIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Naam kiongozi wa wanyonge mniombeeeeeeeeeee.Nyie mliopanaga watu wamwage damu nanyi muwe mnasogea ili yenu imwagike.
Usijari tunapambana dunia ijue kwa ufasahaAfadhali watusaidie jaman wenye VPN wataarfuni FB na Instagram
NimekushushaIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.