Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✓Kama utaki kupangiwa unatafuta nini apa Jamiii Forum. Au unafikiri wasapu, Facebook, Instagram, Twitter. Ni Kwa ajili ya siasa peke yake kuna bihashara nyingi zinakufa Leo na kupata hasara kwa sababu ya maswala ya siasaKwani tuna mkataba nao wowote ule kikazi na Twitter? Hii ni territory yetu tunafanya tutakavyo, wasitupangie.
Kwani tuna mkataba nao wowote ule kikazi na Twitter? Hii ni territory yetu tunafanya tutakavyo, wasitupangie.
Pakua Proton vpnMie nimejaribu kupakua VPN zinagoma maana nyingi zinapatikana mwenye Apple store. Hebu kama unafahamu nielekeze nijaribu kupakua
Pakua Proton vpn
Upotoshaji gani wapumbavu nyinyiWao wanadhani wangetumia tu mitandao kufanya upotoshaji wao wa kila siku.
Safari hii mazee wamejipanga kwelikweli.
Fikiria vizuri, kwani CCM aiwezi kutumia ili kusudi kuzuia taarifa za ukweli?CHADEMA walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya sasa hivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
Soma Sheria za mawasiliano za kimataifa na hata katiba yako huijui?Kwani tuna mkataba nao wowote ule kikazi na Twitter? Hii ni territory yetu tunafanya tutakavyo, wasitupangie.
Huna haja ya kutukana watu, tumia lugha ya kistaarabu.Upotoshaji gani wapumbavu nyinyi
Wewe pimbi nyamaza, ni lijinga sana, mnapenda kututukania rais wetu, ngoja tuwatose then tuwakomoe wapumbavu nyie mtahama nchi, ni hasara kuwa na watu ka ninyi ktk taifaWewe huwa unatetea sanaa kila kitu afanyacho Magu sasa hata trailer halijaanza ushaanza lialia kuzima mitandao ni mojawapo ya kazi za JPM viva Magufuli binya hawa ccm wenzio mpaka wapate akili hawa na bado mitano yenu mbele hiyo ishafika utapiga sana mayowe hapa kazi tu
ICC ndiye mama yako? Huyo kibaraka wenu anatoswa na bado muziki lazima akomeshwe kabisa, nyie wafuasi mmoja mmoja itabidi mkimbie nchi wapumbavu kabisaTuna zidi kukusanya ushahidi wa kwenda ICC
Achana na mpumbavu huyo hana akili kabisa✓Kama utaki kupangiwa unatafuta nini apa Jamiii Forum. Au unafikiri wasapu, Facebook, Instagram, Twitter. Ni Kwa ajili ya siasa peke yake kuna bihashara nyingi zinakufa Leo na kupata hasara kwa sababu ya maswala ya siasa
We unapigwa kweli ... endelea kugawaWakwende huko.. hatutawaliwi na vya kwetu.. wameshindwa kutudaka nchi yetu.. mipango yote pigwa nyundo.. Magufuli Baba Lao
Ametusaidia sana wananchi na nchi yetu.. kuna mengi kayaziba na amani tunayo
[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji817][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437]
✓Kama utaki kupangiwa unatafuta nini apa Jamiii Forum. Au unafikiri wasapu, Facebook, Instagram, Twitter. Ni Kwa ajili ya siasa peke yake kuna bihashara nyingi zinakufa Leo na kupata hasara kwa sababu ya maswala ya siasa
Wasikupangie wewe na nani yako ?? Acha kujichetua ndugu yangu. Hizo pesa mnazopewa na kuja kutuvutuga na kushabikia upuuzi kuna siku mtatamani msingezipokea. Hivi unazima internet ili iweje ? Kama chama chenu kipo vizuri hiyo hofu hadi mnazima internet inatoka wapi ?
Mambo yenu ya siasa mnatufanya na wengine ambao hatujihusishi na siasa tunaumia hivi hivi.! Haya leo makampuni ya simu ya mepoteza pesa kiasi gani kwa kuzima internet?
Na serikali imepoteza kodi kupitia internet kiasi gani!? Kiasi kikubwa sana. Hebu acheni kushabikia utoko utoko kisa wewe umepewa hela ya kula mwaka mzima wewe na familia yako.
Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.Soma Sheria za mawasiliano za kimataifa na hata katiba yako huijui?
Tuna zidi kukusanya ushahidi wa kwenda ICC
Hahaha MATAGA kelele zote hizi huku umedownload VPN... kumbe mnajua umuhimu wa kuwa na uhuru wa habari... la sivyo leo mngezima simu mkalala tu. Kwanini hamumsikiliza baba akiwaambia kitu?Wakwende huko.. hatutawaliwi na vya kwetu.. wameshindwa kutudaka nchi yetu.. mipango yote pigwa nyundo.. Magufuli Baba Lao
Ametusaidia sana wananchi na nchi yetu.. kuna mengi kayaziba na amani tunayo
[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji817][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437]