citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Mitano tena hiyoooTusaidie kumwambia basi asiue sisimizi kwa nyundo. Inawezekana yeye haoni kama unavyoona wewe. Hebu msaidie arelax basi atufungulie mitandao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tena hiyoooTusaidie kumwambia basi asiue sisimizi kwa nyundo. Inawezekana yeye haoni kama unavyoona wewe. Hebu msaidie arelax basi atufungulie mitandao.
Kazi gani takataka nyie....ICC inawahusuIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Nimekudharau kabisa!!!! Huko Zanzibar wanaishi nyani???Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Bado umelala?Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kupata 50% si kazi rahisi....watu wengi hawajajiandikisha, wapinzani wengi walijiandaa, usidhani kijani n wajingaIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Si mlidai wapiga kura hawako kwenye keyboard.... 😁😁😁😁😁CHADEMA walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya sasa hivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
CCM haina ustaarabu.Huna haja ya kutukana watu, tumia lugha ya kistaarabu.
Madikteta wote huwa ni waoga Sana thus utegemea kukamilishwa na nguvu ya dolaKuna international students katika nchi hiii wanasoma online, hakuna mtandao nini maana ake? Miaka ya giza ndo hii? Najiuliza tu Uoga wa nn?
Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kwani wewe nani mkuu? "Niisingeshangaa" nikijua umaarufu usiokuwa nao.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Mkuu hii imetokana na uzushi wa wapumbavu wachache wangeanza kudownload picha za mauji na kusema ni tz.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Duuh! Vipi ukisearch Google kwenye kwenye third-party sites walizo host package zake! Em jaribu kudownload hii altstoreTatizo ipo kwenye Apple store ambaye kwa mimi device yangu apple store hazifunguki. Tunashindwa kufurahia maisha yetu ya kila siku kwa sababu ya mambo yao ya siasa. Ovyo sana hawa watu