ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Nahisi Donald Trump anapenda tunayoyafanya Tanzania.
kwanza jinsi ya kupiga kura,wao muda umeisha lakini bado hawajaafikiana watumie mtindo upi.
Pili mitandao ya kijamii,hata DT anapenda izimwe ili akili zielekezwe upande mmoja tu kwenye uchaguzi.
kwanza jinsi ya kupiga kura,wao muda umeisha lakini bado hawajaafikiana watumie mtindo upi.
Pili mitandao ya kijamii,hata DT anapenda izimwe ili akili zielekezwe upande mmoja tu kwenye uchaguzi.