Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Jamii forum ni mtandao wa kizalendo tunauhitaji ila sio hilo Twitter
Bado kidogo utasema jf haina faida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kidogo utasema jf haina faida
CCM imezidi kujiongezea chuki kubwa zaidiKwa tahalifa yako kuzima internet ,ndo inakua shida Zaid ,hasa kipindi hiki ambacho dunia ipo Kasi,
Kwa Sasa watu wanatumia VPN ,network zao zinasoma mataifa ya ulaya ,access yatahalifa nyingi inapungua ila ila bado huko zinapo Soma ni rahis pata access za huku,
Sasa hapa umeondoa tatizo au umekuza tatizo,
Kwa njia haramu za kishetani siyo kwa sanduku la kuraMitano tena hiyooo
Mtukufu magufuli atakuwa Rais kwa kusimikwa na Polisiccm na NECCCM Tumeccm siyo kwa kuchaguliwa, sijui ni kwa nini umefanyika uchaguzi wakati NECCCM Tumeccm wanatumia matokeo ya mwaka 2015 wanaongezea kidogo wanamtangaza kwa njia haramu za kishetaniNa Umeme wamekata ili tukose charge kabisa. Najikuta napata nguvu ya kwenda kupiga kura leo ili niondoe huu ujinga
Kwa hiyo kufanya tallying ni upotoshaji?Wao wanadhani wangetumia tu mitandao kufanya upotoshaji wao wa kila siku.
Safari hii mazee wamejipanga kwelikweli.
NECCCM Tumeccm na Polisiccm tayari wanayo matokeo mifukoni hata watanzania wote wakimpigia Lisu , wao watamtangaza mtukufu magufuli kuwa ni mshindi huu uchaguzi umepoteza pesa bure maana hakuna Tume huru ya uchaguziKuna ujinga sana Tanzania hii ndugu yangu. Tuhamasishane kwa nguvu tukapige kura na kulinda matokeo yetu leo ili kuondoa huu ujinga. Imetosha kwa kweli.
Unacheza na %30 nini? yote hiyo ni kwa sababu ya kuhalalisha wizi wa kura tu,Lisu kampiga gap kubwa sana huyo maraika wenuIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?hujielewi wewe,endelea kukatkia mshedede apo ufipani
NECCCM Tumeccm na Polisiccm tayari wanayo matokeo mifukoni hata watanzania wote wakimpigia Lisu , wao watamtangaza mtukufu magufuli kuwa ni mshindi huu uchaguzi umepoteza pesa bure maana hakuna Tume huru ya uchaguzi
Atasomewa Albadiri kubwa Duniani kote mpaka awe kibogoyo mdomo mzimaNguvu ya umma itaamua
Ujinga ni kujiona mjanja kwa kuwa umeshiba,huku ukikandamiza ndugu zako wenye njaaCHADEMA walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya sasa hivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
Huwa anajinadi kaleta maendeleo inashangaza ni kwa nini anaogopa hivyo? Dawa yake ni kumuacha aingie ikulu kwa njia haramu za kishetani kisha watanzania wamlilie mungu ataona mziki wakeJamaa muoga sana
comedy hazitakiwiTuna zidi kukusanya ushahidi wa kwenda ICC
Kazi zake zipi zinainekana? Kwani mtukufu magufuli hutumia pesa zake binafsi tokea mfukoni au ni kodi za watanzania wote? Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? ni pesa binafsi za CCM au pesa za walipa kodi?
Hii kitu mie ninayo kitambo but leo haifanyi kazi inanilazimisha ku_upgrade xokuna njia naweza fanya.msaada plzz mwenye kujuaPakua Proton vpn
JPM alishajitoa twitter mkuu?Twitter haina faida yeyote Tanzania, wala hatuhitaji
Mungu lazima atafanya jambo wiki hii Tanzania. Kwa Jina lake Yesu Kristo naamini hili.Atasomewa Albadiri kubwa Duniani kote mpaka awe kibogoyo mdomo mzima
Baada ya uchaguzi mkuu wa America kuisha mwezi ujuao ndipo utaona maajabu Duniani kwani UN na taasisi za haki za binadamu zote wamamulika tochi zao kwa kaburu Mkoloni mweusi tokea chatoUjinga ni kujiona mjanja kwa kuwa umeshiba,huku ukikandamiza ndugu zako wenye njaa