Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Kwa tahalifa yako kuzima internet ,ndo inakua shida Zaid ,hasa kipindi hiki ambacho dunia ipo Kasi,
Kwa Sasa watu wanatumia VPN ,network zao zinasoma mataifa ya ulaya ,access yatahalifa nyingi inapungua ila ila bado huko zinapo Soma ni rahis pata access za huku,
Sasa hapa umeondoa tatizo au umekuza tatizo,
CCM imezidi kujiongezea chuki kubwa zaidi
 
Na Umeme wamekata ili tukose charge kabisa. Najikuta napata nguvu ya kwenda kupiga kura leo ili niondoe huu ujinga
Mtukufu magufuli atakuwa Rais kwa kusimikwa na Polisiccm na NECCCM Tumeccm siyo kwa kuchaguliwa, sijui ni kwa nini umefanyika uchaguzi wakati NECCCM Tumeccm wanatumia matokeo ya mwaka 2015 wanaongezea kidogo wanamtangaza kwa njia haramu za kishetani
 
Kuna ujinga sana Tanzania hii ndugu yangu. Tuhamasishane kwa nguvu tukapige kura na kulinda matokeo yetu leo ili kuondoa huu ujinga. Imetosha kwa kweli.
NECCCM Tumeccm na Polisiccm tayari wanayo matokeo mifukoni hata watanzania wote wakimpigia Lisu , wao watamtangaza mtukufu magufuli kuwa ni mshindi huu uchaguzi umepoteza pesa bure maana hakuna Tume huru ya uchaguzi
 
Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Unacheza na %30 nini? yote hiyo ni kwa sababu ya kuhalalisha wizi wa kura tu,Lisu kampiga gap kubwa sana huyo maraika wenu
 
Nguvu ya umma itaamua
NECCCM Tumeccm na Polisiccm tayari wanayo matokeo mifukoni hata watanzania wote wakimpigia Lisu , wao watamtangaza mtukufu magufuli kuwa ni mshindi huu uchaguzi umepoteza pesa bure maana hakuna Tume huru ya uchaguzi
 
Kwa ushetani wa CCM wao wanajiona wajanja kutengeneza huu upumbavu kumbe hawajui kuwa wanazidi kutengeneza chuki kubwa toka kwa wananchi
 
CHADEMA walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya sasa hivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
Ujinga ni kujiona mjanja kwa kuwa umeshiba,huku ukikandamiza ndugu zako wenye njaa
 
Jamaa muoga sana
Huwa anajinadi kaleta maendeleo inashangaza ni kwa nini anaogopa hivyo? Dawa yake ni kumuacha aingie ikulu kwa njia haramu za kishetani kisha watanzania wamlilie mungu ataona mziki wake
 
Kazi zake zipi zinainekana? Kwani mtukufu magufuli hutumia pesa zake binafsi tokea mfukoni au ni kodi za watanzania wote? Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? ni pesa binafsi za CCM au pesa za walipa kodi?

Sio pesa zake bali kodi zetu Mkuu, ila kwa upngozi wake Afadhali usimamizi wa fedha umeonekana. Ila cha kushangaza yeye na ndiguze mboga mboga hawajiamini kabisa.
 
Ujinga ni kujiona mjanja kwa kuwa umeshiba,huku ukikandamiza ndugu zako wenye njaa
Baada ya uchaguzi mkuu wa America kuisha mwezi ujuao ndipo utaona maajabu Duniani kwani UN na taasisi za haki za binadamu zote wamamulika tochi zao kwa kaburu Mkoloni mweusi tokea chato
 
Back
Top Bottom