Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Pakua Proton vpn
Msaada namna ya kujisajili kwa wale ambao hatuna akaunti katika mtandao huo tunafanyaje kwani sehemu inayohitajika kutumia jina na neno la siri pamoja na email havikubali sijui ni mahali gani ninapokosea.
 
Hapa dawa ni kupiga kura kwa wingii hadi jamaa aseme basi nimewasusia nchi yenu maana anapenda kususayulee
 
Wasikupangie wewe na nani yako ?? Acha kujichetua ndugu yangu. Hizo pesa mnazopewa na kuja kutuvutuga na kushabikia upuuzi kuna siku mtatamani msingezipokea. Hivi unazima internet ili iweje ? Kama chama chenu kipo vizuri hiyo hofu hadi mnazima internet inatoka wapi ?

Mambo yenu ya siasa mnatufanya na wengine ambao hatujihusishi na siasa tunaumia hivi hivi.! Haya leo makampuni ya simu ya mepoteza pesa kiasi gani kwa kuzima internet?

Na serikali imepoteza kodi kupitia internet kiasi gani!? Kiasi kikubwa sana. Hebu acheni kushabikia utoko utoko kisa wewe umepewa hela ya kula mwaka mzima wewe na familia yako.
Sijaona sababu hasa ya kufunga hii mitandao.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ujinga sana Tanzania hii ndugu yangu. Tuhamasishane kwa nguvu tukapige kura na kulinda matokeo yetu leo ili kuondoa huu ujinga. Imetosha kwa kweli.
Na Umeme wamekata ili tukose charge kabisa. Najikuta napata nguvu ya kwenda kupiga kura leo ili niondoe huu ujinga
 
Back
Top Bottom