Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajue hawawezi kuwaziba midomo Wazanzibari sisi sote ni WazanzibariJF yenyewe ipo down kasoro baadhi ya sehemu huku Zanzibar.
Hakuna kinacho wezekana bila ya VPN download harakaJF yenyewe ipo down kasoro baadhi ya sehemu huku Zanzibar.
Hakuna kinacho wezekana bila ya VPN download haraka
Hata mimi kila nikisikia MATAGA wanasifia kazi za magufuli huwa nazitafuta sizioni. Sana sana kuteua na kutumbua kila kukicha (ushahidi wa kutokujua kanuni za utawala bora). Barabara zilizompa jina na kumpenyeza kufikiriwa kuwa rais, nyingi zilijengwa na mtangulizi wake. Ndege alizonunua, amewabebesha walipa kodi mzigo wa kutoa ruzuku kuendesha shirika kwa sifa tu. Chato bado wanakunywa maji ya vidimbwi pamoja na kuwa na uwanka wa ndege.Kazi gani majizi tu
Shetani ukimkubali mkubali na matendo yake, kwa maana kwa visiwani ingekuwa sawa?.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Sawasawa.JF yenyewe ipo down kasoro baadhi ya sehemu huku Zanzibar.
Imeshindikana mkuu, wamepiga pini tangu janaHakuna kinacho wezekana bila ya VPN download haraka
Hofu ya nini wakati uchaguz ni wa huru na haki?Uchaguzi ni tukio mhimu Sana katika kulinda au kuvuruga amani ya nchi.
Hivyo Basi ni jukumu la serikali kuhakikisha Taifa linakuwa salama wakati huu wa uchaguzi. Na kwa Dunia Hii ya leo Internet ndo sehemu ya kuangalia zaidi kuliko hata huku kwenye maisha ya kawaida.
Wao wanadhani wangetumia tu mitandao kufanya upotoshaji wao wa kila siku.CDM walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya saivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
VPN..