Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Vilvile, anajenga kinu cha nyuklia.Umesahau kusema bukinafaso itamiliki setilait ya kwake miaka michache ijayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilvile, anajenga kinu cha nyuklia.Umesahau kusema bukinafaso itamiliki setilait ya kwake miaka michache ijayo
mwamba wa africaVilvile, anajenga kinu cha nyuklia.
Kwa haraka haraka una point kubwa sana kaka; kwamba vitu vilivyo orodheshwa hapa ni vidogo sana kwa nchi kama Burkinafaso cause hapa kwetu tunavyo but ukifatilia historia yao na nchi zote zinazo ongea Kifaransa hapa Africa, utampongeza sana huyo Thomas Sankara the second. Iko hivi, nchi za west Africa ambazo ni French speaking countries, ni masikini wa kipitiliza; Ufaransa amekua anazinyonya nchi hizo bila huruma, ukiingia kwenye supermarkets zao hadi biscuits ni from Ufaransa. Hivi ajira za wananchi wao zitapatikanaje? Fikiria tu, why wachezaji wengi wa mpira (I said wengi) ni from French speaking countries? Majority wanatokea familia masikini sana. Mapato yanayokusanywa na TRA zao bado kuna sehemu ya hizo fedha zinatakiwa kwenda kuwekwa Ufaransa. Chunguzeni pia nchi za Togo, Burkinafaso, Mali, Niger and all French speaking countries kama zina central bank, kama hazina go and find out why that. Long live this presidentNi upuuzi Kwa Mtanzania kuorodhesha tuvitu tudogo kama Hutu kama mafanikio na kusherehekea lakini hajui chochote Cha maana kuhusu Nchi yake hata Mkoani aliko.
Kwangu sijaona Cha maana hapo ambacho wengine Wameshindwa au Cha kunivunia kiasi kwamba iwe habari.
Sana sana hao Wabukinabe wamejichelewesha sana na huyo dogo wao.
Atafika huko kumiliki satellite muda, ukifika. Ngoja alete shibe kwanza (kilimo) kwa watu wakeUmesahau kusema bukinafaso itamiliki setilait ya kwake miaka michache ijayo
Hivi Afrika ni lini imekuwa na viongozi wasio madikteta au wewe hata historia ya bara lako huijui.Chance pekee inayoweza kuwafanya Waafrika kuendelea ni kuwa na madikteta. Watu wameaminishwa kuwa madikteta ni wauaji kumbe sivyo hata kidogo.
Anapongezwa, sababu inaonekana watangulizi wake hawakufanya lolote kama yeye.Nchi gani imewahi zuowa kufanya maendeleo kutoka Nje? Hivi ni visingizio vya wajinga.
Kama wajua maendeleo ni process Sasa too much sifa zinatoa wapi wakati hakuna kitu extra ordinary kimefangwa? Mbona Nchi zingine zinafanya zaidi ya hayo na hakuna sifa kede kede kama mnazompa.huyo dogo wenu
Huna lolote wewe na hao madalali wenzako. Ni wivu tu hapa ndiyo umekujaa. Maana hajasifiwa mama yako anayetapanya tu fedha zetu, kwa mambo ya hovyo.Ni upuuzi Kwa Mtanzania kuorodhesha tuvitu tudogo kama Hutu kama mafanikio na kusherehekea lakini hajui chochote Cha maana kuhusu Nchi yake hata Mkoani aliko.
Kwangu sijaona Cha maana hapo ambacho wengine Wameshindwa au Cha kunivunia kiasi kwamba iwe habari.
Sana sana hao Wabukinabe wamejichelewesha sana na huyo dogo wao.
Propaganda zenye ukweli sio mbaya. Kujitangaza kwa maendeleo sio mbaya.Jamaa nae anaishi kwa propaganda nyingi
Wivu wa nini Sasa 😆😆Huna lolote wewe na hao madalali wenzako. Ni wivu tu hapa ndiyo umekujaa. Maana hajasifiwa mama yako anayetapanya tu fedha zetu, kwa mambo ya hovyo.
Mama hawezi sigiwa Kwa vitu petty kama hivyo.Angesifiwa Mama samia hapa, ungefurahi kweli. Ila kusifiwa kijana mdogo mwenye maono ya kweli kwa nchi yake, ukapandwa na ghadhabu!!
Ina maana gani sasa kujenga hivyo vitu kwa mikopo yenye riba kubwa, na pia kwa kuipiga mnada nchi yako!Mama hawezi sigiwa Kwa vitu petty kama hivyo.
Vitu vya kumsifia mama ni kama kujenga viwanja vya ndege zaidi ya 17 Nchi nzima.
Tunavyi vingi sio kusifia tuvitu na tumiradi twa kuokoteza 😂😂
Jamaa hii spana kwani vita??😹Ni upuuzi Kwa Mtanzania kuorodhesha tuvitu tudogo kama Hutu kama mafanikio na kusherehekea lakini hajui chochote Cha maana kuhusu Nchi yake hata Mkoani aliko.
Kwangu sijaona Cha maana hapo ambacho wengine Wameshindwa au Cha kunivunia kiasi kwamba iwe habari.
Sana sana hao Wabukinabe wamejichelewesha sana na huyo dogo wao.
Ni maalumu Kwa kukomesha ujinga.Wewe umeona kipi extraordinary hapo?Jamaa hii spana kwani vita??😹
Suala la kutimua mabepari hio safi sanaNi maalumu Kwa kukomesha ujinga.Wewe umeona kipi extraordinary hapo?
Mbususu ya mobeto amuachie naniAziz Ki inawezekana hana hizi taarifa! Arudi kwao sasa mambo safi.
Hata ukitimua Wazungu wa West unabaki na Wazungu wa East ndio inasaidia nini Sasa?Suala la kutimua mabepari hio safi sana
Kupunguza mishara kwa vigogo na kuongezea vidagaa Ili wawe na purchasing power.Hata ukitimua Wazungu wa West unabaki na Wazungu wa East ndio inasaidia nini Sasa?