Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda zenye ukweli sio mbaya. Kujitangaza kwa maendeleo sio mbaya.
Wewe ulitakaje?Ni upuuzi Kwa Mtanzania kuorodhesha tuvitu tudogo kama Hutu kama mafanikio na kusherehekea lakini hajui chochote Cha maana kuhusu Nchi yake hata Mkoani aliko.
Kwangu sijaona Cha maana hapo ambacho wengine Wameshindwa au Cha kunivunia kiasi kwamba iwe habari.
Sana sana hao Wabukinabe wamejichelewesha sana na huyo dogo wao.
Halafu we jamaa kumbe ndio tabia yako, kila post yenye mema ya Africa unakandia, hivi unakuwa umetumwa au inakuwaje? Maana unakuwa kama mwenndawazimu hiviNi upuuzi Kwa Mtanzania kuorodhesha tuvitu tudogo kama Hutu kama mafanikio na kusherehekea lakini hajui chochote Cha maana kuhusu Nchi yake hata Mkoani aliko.
Kwangu sijaona Cha maana hapo ambacho wengine Wameshindwa au Cha kunivunia kiasi kwamba iwe habari.
Sana sana hao Wabukinabe wamejichelewesha sana na huyo dogo wao.
Good. Mtu anaitukana Africa wakati amezaliwa amekulia na anaishi Africa. Anawapendelea wezi, wauaji na wanaominya haki.Halafu we jamaa kumbe ndio tabia yako, kila post yenye mema ya Africa unakandia, hivi unakuwa umetumwa au inakuwaje? Maana unakuwa kama mwenndawazimu hivi
Huyo jamaa namjua muda mrefu, ndio tabia yake, nimemkuta na hapa hadi nimestuka, sijui analipwa au ametumwa..Good. Mtu anaitukana Africa wakati amezaliwa amekulia na anaishi Africa. Anawapendelea wezi, wauaji na wanaominya haki.
Na watamuua TU.Hao marais wa namna hio ndio hawatakiwi na wazungu.
Hujui vingi bro, kila kitu kina pande mbili taja mazuri yake kidogo tuone kama unafatilia au ni chuki tu.Hivyo mnavyodai wamefanya vya maana ni vidogo sana kama wangeshirikiana na wengine ikiwemo kupata mikopo ya nafuu.
Upuuzi wa hivyo uliwahi mshinda Nyerere yaani hiyo dogo anaongoza kitu ambacho haiwezi ku exist kiuhalisia.
Siku uchumi uki burst ndio atakuwa hajui saizi Bado sana ana visingizio
In makongoro Nyerere voice "YUPO TU"Wanasema uzee hazina
Si ndio hayo mnayomjimbia pambio yametajwa na mtoa mada au?Hujui vingi bro, kila kitu kina pande mbili taja mazuri yake kidogo tuone kama unafatilia au ni chuki tu.
mchakato umeshaanza na unaendelea jamaa anataka kumiliki jeshi lenye nguvu sio lelemamaAtafika huko kumiliki satellite muda, ukifika. Ngoja alete shibe kwanza (kilimo) kwa watu wake