Tyson alikuwa anabebwa, overrated

Watu wenye Degree Nne ndio huleta uzi kama ulioleta wewe.Halafu ukiambiwa unakwepa kwepa ukweli wako juu ya chuki mbaya kabisa uliyo nayo rohoni.Imekuuma sana Tyson kuwa overrated.

Jitahidi na wewe uzidi pia kuwa Overrated ni kazi nyepesi sana.
Mnavyopenda matusi sasa. Hamuwezi kupangua hoja kabisa.
 
Hahaha jibu hoja umepanick wewe mikanda ya ushindi apewe mwingine we uje ku overate na ku underate
Sasa mbona sijaona hoja yako. Wenzako walileta hoja nikawajibu wakakimbilia matusi
 
wewe ndo usome vizuri anzisha mapambano yako ya mabondia wanaorudia mpambano nakupigana tena ndo uapprove ubondia wao...baada ya kuwa....under rate
Hahaha bob mbona umeshikilia swala la kurudiana hivi unajua tumeanza wapi hadi kufika hapo?
 
Yupo hapo kwa ajili ya records. Je ni anastahili? Kama unafuatlia mpira, Zidane akisemwa ni kocha bora zaidi ya Wenger kwakua ana UEFA itakuingia akilini?
Kwa jibu kama hili, naomba niishie hapa kufuatilia uzi wako.
 
Evander alimpiga vichwa Tyson huyo mtoe, Lennox Lewis ndio mkali, Tyson kawapiga Riddick Bowe, Frank Bruno, Oliver McCall, etc
 
Evander alimpiga vichwa Tyson huyo mtoe, Lennox Lewis ndio mkali, Tyson kawapiga Riddick Bowe, Frank Bruno, Oliver Mccall ,etc
Oliver McCall hahahah alipandwa na wazimu uwanjani pambano lake la pili na Lewis
 
Kwani ile gemu ya Evander vs Tyson iliisha ? Ile gemu kairibu kwa kumpiga vichwa Tyson mpaka akampasua juu ya jicho, Tyson naye akaamua kumng'ata, hivyo pambano kuvunjika
 
 

Kuna pambano la Eubank Sr na Big Bad Ben kabla ya pambano Eubank akawa anahojiwa akasema "...yeyote aliyeweka dau kunipinga ajue anakosea, haijalishi kama nitashindwa ila atakua amekosea" hapo yeye ni underdog na Ben ni fan favourite.

Kilichotokea bwana Ben na ngumi akastaafu
 
Eubank nilikuwa nampenda zile mbwembwe zake, anakupiga then anageua huyo, ila nassikia jamaa amefirisika
 
Eubank nilikuwa nampenda zile mbwembwe zake , anakupiga then anageua huyo, ila nassikia jamaa amefirisika
Kama kufilisika itakua siku za hivi karibuni, mara ya mwisho niliacha bado yuko vizuri tu mwanae alikua anampa maisha
 
Wapo wengi!
Wanachambua kuliko Sekilojo!
 
Na ndiye aliyeondoka na ndondi zake na kutuachia ujinga ujinga ulingoni tunaouona sasa!
 
Mkuu na wewe ingia ulingoni afu sisi hapa tutakuOverrate Mkuu!
 
Umeamua Kugoogle ukatafsiri kwa Kiswahili then unajitapa kuwa umejenga hoja?
Bahati mbaya mimi si mshabiki wa Ndondi lakini hoja zako ni dhaifu mno.

Umeenda kusoma Makala za Haters na ukazibandika hapa.
 
Umeamua Kugoogle ukatafsiri kwa Kiswahili then unajitapa kuwa umejenga hoja?
Bahati mbaya mimi si mshabiki wa Ndondi lakini hoja zako ni dhaifu mno.

Umeenda kusoma Makala za Haters na ukazibandika hapa.
Hebu lete hiyo sehemu ambayo mimi nimetafsiri.
Wengi mnaishia kusema hoja dhaifu ila hamzitoi zenu za kuonyesha udhaifu wa kilichoandikwa.

Halafu hapohapo hufuatilii ndondi. Sasa kama hufuatilii unajuaje kama nipo sahihi ama la? Tukutane kwenye mpira huku hupawezi
 
Nilitaka ujue kuwa nimekushangaa sana kwa kitendo chako cha kubishia world records.
Naomba nisiseme zaidi.
Sikia mzee, hizi stori za world records ndiyo zikasababisha nimtaje Zidane na makombe ya UEFA wewe ukaingilia kati huku hujui ilikuaje.

Pita kushoto kama hauna hoja za kuonyesha upotofu wa kilichoandikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…