Huko kujulikana ndiyo nikasema.Haaaaaahaaaaa kuna kale kaimbaji kanaitwa Nandy na kenyewe kanamjua kuna wimbo niliusikia kamuimba sasa haoni ajabu mtu km yule ambae si mfuatiliaji anamjua Tyson,Khadija kopa kawahi kumuimba wasanii kibao humuimba Mike bibi yangu juzi hp ananiambia "Usijifanye Tyson hapa" yaani mleta mada inamuuma kishenzi watu kumtukuza Mike hata saa hz pita YouTube na mitandao mingine utakuta khabari za Mike hao wengine wamestaafu wamesahaulika Mike km bado yupo ulingoni ana mvuto wa kipekee sana!
We na we sasa kwanini nikasema anakimbia watu? Ambao hawakimbii watu ndiyo hao ukaona kilichotokea.Haka kajamaa kana ushabiki sana yeye anamuona Mike tu Evander alipelekewa moto kishenzi na babu Foreman tena baada ya kukaa nje ya ring kwa miaka kumi hiyo hawezi sema!
Hujui kituKitendo cha kusema Tyson alikua bondia wa kawaida inatosha kusema akilizako haziko sawasawa na mtu atakayebishana nawe naye ni mwehu.
Yaani Tyson ameshinda mapambano 50 kati ya hayo 44 kwa KO kapoteza 6 ivi kweli alikua akipendelewa au kapigana na vizee?
Soma uzi uelewe. Hoja yako imejibiwa kwenye uziDaaa, hivi kwenye ngumi Kuna kibebwa kweli na ukizingatia alikuwa anashinda kwa KO tena mapema kabisa, au unataka kusema mabondia wote aliowapiga walikuwa wabovu? hebu jiunge na boxing nawewe wakubebe mkuu.
Mzee hizo za kwanini anajulikana sana zimeshajibiwa na uzi.Hata mpaka wakati huu naandika hapa , huna zaid ya Tyson , hakuna anae mzidi au hata kulikaribia hili jina
Kwanini imekua hivyo ? Ni kazi yake aliyo ifanya wakati yuko kwenye ubora wake
Hao wenye majina wanajulikana na kikundi cha watu wachache wanao fuatialia masumbwi..nje ya hapo hakuna anae wajua
Muulize dada yako huku Tyson.. Atakupa jibu.. Muulize kuhusu John cena au pele atakupa jibu...majina anayajua haya japo hajawah angalia iwe mpira au mieleka
Muulize kuhusu wilder Au AJ au Furry ...kama hata aliwa wasikia bahati mbaya
Again again, jina haliji kama zawadi , zinaletwa na kazi yeko iliyo tukuka full stop
Bibi au babu yako wanajua kuhusu Cristiano Ronaldo...wanaweza wasijue n nani na anafanya nn ila wanatambua yupo... How ??ni kazi anayofanya...same thing goes to Mike Tyson
Nini kinachofanya uoungue, kutokana pia hakuna wapiganaji wazuri kama zamani, tangu afe michael jackson poo kushney maregea sababu hakuna anaefanya kama yeye.Ni kwasababu umaarufu wa boxing umepungua sio kama zamani
Lady jay dee aliwaambia clouds wakawabebe na madada zao nyumbani.kila anaebebwa anajua mkuu.
Ngumu kumpata mkamilifu, hata messi anatamani mguu wa kulia wa ronaldo, uwezo wa kwenda hewank na kadhalika, cr nae atatamani uwezo wa mguu wa kushoto wa andunje skills zake nakadhalika.tyson alibebwa sana na media, alipigwa kipigo cha aibu sana na douglas "buster"
Hakuna kama Tyson?Jipeni kazi kidogo muingie you tube.
Muangalie alichokua anakifanya mike tyson.
Mimi namuona TYSON ni kama Ronaldinho wa ngumi. hakuna kama tyson labda baadae atazaliwa.
🤣🤣🤣 duh kweli komandooLady jay dee aliwaambia clouds wakawabebe na madada zao nyumbani.
🤣duuu kwel komandooLady jay dee aliwaambia clouds wakawabebe na madada zao nyumbani.
Mzee hizo za kwanini anajulikana sana zimeshajibiwa na uzi.
Soma tena
Usiniambie ulikuwepo wakati wakipanga hayo mapambano na waliomuweka mike na kama ni hivyo watu wasingemuweka Mike Tyson katika Greatest Heavyweight Boxers Of All Time? ww ninani unawadhifa gani wakupinga walioweka hiyo list.Ok alizipata kutoka kwa nani? Wewe leo panga lako likikata mgomba utaliita kali?
Si unajua tena wabongo wakiingia utube wakisoma vimakala viwili vitatu basi wanajifanya magwiji wa mambo. Mashirikisho ya ngumi duniani yanamtambua Tyson, halafu anatokea mtu kwa mtogore kashiba ugali na kabichi anijafinya mtaaalam kuliko WBO, WBC,IBF, shirikisho la ngumi za kulipwa Tanzania nk. Chambueni tu singeri ndio fani zetu hayo mengine tuyaache tu kama yalivyoUsiniambie ulikuwepo wakati wakipanga hayo mapambano na waliomuweka mike na kama ni hivyo watu wasingemuweka Mike Tyson katika Greatest Heavyweight Boxers Of All Time? ww ninani unawadhifa gani wakupinga walioweka hiyo list.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha hapo aliposhiba kabichi na ugali [emoji119][emoji91]Si unajua tena wabongo wakiingia utube wakisoma vimakala viwili vitatu basi wanajifanya magwiji wa mambo. Mashirikisho ya ngumi duniani yanamtambua Tyson, halafu anatokea mtu kwa mtogore kashiba ugali na kabichi anijafinya mtaaalam kuliko WBO, WBC,IBF, shirikisho la ngumi za kulipwa Tanzania nk. Chambueni tu singeri ndio fani zetu hayo mengine tuyaache tu kama yalivyo