Vipi amerudisha mkandaLeo ndio leo, Kocha wa Wilder anasema amemfundisha kutumia zana zote na sio kutegemea sucker punch.
Ngoja tuone kama atarudisha Belts.
Kabisa mkuu,,round ya tatu tatizo ndipo lilianza ngumi ya sikio iliharibu equilibrium ya jamaa.Ilipaswa pale alipomwangusha Fury mara ya pili angeshibdilia π π π πJamaa alikuwa hana Stamina kabisa sema kajitahidi sana
Hahaha bishoo huyu, ana body zuri, sijui hata anafail wapi huyu mshikajiDah, Joshua mwenyewe ndo hivyo tena kawa kama Dulla Mbabe
Aurudishe kwenda wapi
Ni ya 11
Huyu furry mbona hapati hata mchunuko? Yaani linakuja tu kama dubwanaFury amehesabiwa Knockdown mara mbili wakati Wilder akihesabiwa Knockdown mara tatu na mara ya tatu referee kamaliza Pambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Furry anakuja kupigwa na Aleksander Usyk.Kumpiga furry inabidi ujipange haswa, the dude is so genius in the ring
Jamaa kama kaja zoeziHuyu furry mbona hapati hata mchunuko? Yaani linakuja tu kama dubwana
Kadundwa kwikwi.
Kabisa aiseeJamaa kama kaja zoezi
Hamna kitu kama hicho broFurry anakuja kupigwa na Aleksander Usyk.
Mkuu pamoja sana tumekuwa wote toka kukuche π π π"I want to say thank you to my lord and saviour Jesus Christ. I give him the glory he gives me the victory.
"I was down a couple of times, I was hurt, Wilder is a strong puncher.
"It was a great fight tonight. I will not make any excuses, Wilder is a top fighter, he gave me a run for my money. I always say I am the best fighter in the world and he is the second best.
"Don't ever doubt me. When the chips are down I can always deliver."
Tyson Fury.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti equilibriumKabisa mkuu,,round ya tatu tatizo ndipo lilianza ngumi ya sikio iliharibu equilibrium ya jamaa.Ilipaswa pale alipomwangusha Fury mara ya pili angeshibdilia π π π π
Usyk alocheza na Aj haezi mpiga FuryFurry anakuja kupigwa na Aleksander Usyk.